Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Hivi hamjamjua kuwa Mh sio mtu wa mchezo mchezo?
anaweza kabisa akatoka alikotoka akawape pole?
badala akaangalie ujenzi akawape pole akina ruge, kwani waneuchinjwa


Aende makonda akawape pole! ndugu zake!

mtajiumiza sana , kama hamjamsoma Rais ni mtu wa aina gani
 

 
Kituo hakikuvamiwa, bali kilifanyiwa ziara ya kushtukiza.
Neno "kuvamiwa" linatumika ili kuongeza uzito wa hoja.
Kituo kinavamiwaje bila hata umwagaji damu au vioo kuvunjika?
Ziara ya kushtukiza na SMG ofisini teh teh teh
 
Hebu rudia kusoma ulichoandika
 
hio clouds ni kazi ya Mh Nape Nnauye!
mlitaka awe PUPPET president?
 
atawapaje pole yet yeye ndie alisuka mpango na bashite wake, mbaya zaidi dili limedunda
 
Yeye Magu na Bashite ndio walipanga kuvamia Clouds.Haiwezekani watoe pole
 
hana mpango wa kupata support kutoka kwa yeyote ifikapo mwaka 2020. In short Magufuli amejihakikishia ushindi wa mezani, like it or not.
 
mkuu kuna ukweli hapo?
Wametenheneza wao kama yote yasemwayo ni kweli,
1.walishaharibu weledi wao, kwanini haijakamilika ijulikane kuwa itaruka na ndo maana huyu kaja kuwa bado. currupt media
2. wamefanya favouritism hadi watu wanaona ni utaratibu kulazimisha vipindi.
3. wameajiri watu wasiojua kuwa kipindi ni balanced au la, hadi mkuu wao ndo awe command kiruke au kisiruke na kusisitiza kwamba kuna watu huwa wanarusha bila kubalance.
4.kutokana na 3 kuna watu ndani ya media yao ndo wamepush hilo. hivyo uongozi wao haujakaa sawa. waweke miongozo hata ya kuingia ndani.
eti alivamia, alibomoa mlango, au alimsukuma mlinzi? si aliruhusiwa!
 
pole ya nini? aache kwenda kuwapa pole wagonjwa hospitalini awape pole hao jamaa wazima kabisa hata hawaumwi
Kweli kabisa, kuna watu wanapenda mambo ya kijinga. labda kama wangepigwa ya machozi bila kosa. kutembelewa!
 
ukweli mtup!
hakia nia ya Ruge anajua nafsini mwake mwenyewe. siju elimu yake! ila namwona ni corrupt na kama kiongozi wa media iliyojizolea sifa kama yake kiuongozi hayupo sawa. hayupo balanced na kama hatajua atashanga anacheza ngoma za watu. ana ushabiki fulani. hafai kuwa kiongozi
 
ukweli mtup!
hakia nia ya Ruge anajua nafsini mwake mwenyewe. siju elimu yake! ila namwona ni corrupt na kama kiongozi wa media iliyojizolea sifa kama yake kiuongozi hayupo sawa. hayupo balanced na kama hatajua atashanga anacheza ngoma za watu. ana ushabiki fulani. hafai kuwa kiongozi
 
Kwa sababu wanamsingizia rafiki yao aliyewatembelea usiku kuwatia moyo kwenye kazi nzuri.
Kwa nini hawakukanusha wakasema tulitembelewa tu na rafiki yetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…