Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Mange kakurisha sumu na inakuathiri kidogo kidogo.......hahahaaa ukiaminiwa na mtanzania basi unakuwa ushamaliza kila kitu......
 
Sikio la kufa halisikii dawa
 


Kwa nini awape pole!!!???

Kama ni suala la urafiki, hata makonda ni rafiki yao (hao klouds) na wao jana wamekiri hilo. Mbona hata yeye sasa rafiki yao hajawapa pole kwa yale yaliyotokea???

Kwani hili ni tukio kubwa kiasi cha kuonewa huruma na kupewa pole na kila mtu!!!?? Mbona rais mstaaafu Daktari JK hajawapa pole ilihali na yeye ni rafiki yao mkubwa??? Tena walikuwaga wanamfanyia na HEPI BATHIDEI alipokuwa madarakani!!!!???

Hili tukio msilikuuuuuzeeee na kutaka kujaribu kulifanya kuwa eti nalo ni tukio la kitaifa, hata mimi ni mpenzi na mshabiki wa CLOUDz kindaki ndaki lakini sijawapa POLE. Wewe mwenyewe hapo umewapa pole hao kloudz???

Acheni hizo bhaaana, watanzania tuna mambo mengi ya kufanya yanayorihusu taifa
 

mtatea sana lakini ukweli uko wazi sasa hata hili la cloud mange nae katushika kichwa nani mange kwanza tunaongea fact mnakimbilia wauza unga mara mange jamani tukikosea tujikosae huyo jamaa yenu madaraka yamemzidi elimu yake
Aliyonayo ukweli tutaongea hata mkitetea ccm chama changu na ninakipenda lazima tukubali kukosolewa ili tuenselee tulipiga kura tulikipigania wengine hata hamkuwepo
 

Aliyevama Clouds ametumwa na JPM,kulingana na Maneno na matendo yake
 
Huyu atampiga mtu risasi,na ataisha kama uncle Ditto mwana wa Mzuzuri,aka Ukiwaona.
 
Nipe source ya information zako...!!!
 
Yeye ndo Master wa ule UJAMBAZI nafsi inamsuta hawezi kutoa pole!
 
Tumuulize kwanza mwenye mume kama mwenzie huwa anatabia ya kutoa pole..maana tunaweza kudai kitu ambacho muhusika hata hajui maana yake
 
Reactions: BAK
Haha, Mungu akusaidie upone hizi akili zako za kibashite, hivi unajua Clouds wamekuwa wastaarabu sana kwa kuonesha tu hicho kipande cha video? Wakionesha yote mtakuwa na uwezo wa kuhimili? You don't know what you are asking poor man!
 
Reactions: BAK
Nipe source ya information zako...!!!

Hata ruge ni source tosha aliyopngea jana ungejuw huyo mange hata ista simfollow mimi nyie ndio mtafute nani anatoa information zote zinamfikia mange
 
Clouds imeishi kabla sizonje hajaja mjini,inaweza kuishi bila mkono wa yoyete isipokuwa mashabiki wake
Hata Manji alikuwapo kabla ya Sinzonje Biashara za kina manji zimeanza toka enzi ya Mwalimu lakini leo Sinzonje anamfanya Manji aone Tanganyika chungu kwanza akipona tu Mahakamani akakabidhi Passport ya Tanzania abaki na ya UK then tumpigie kodi aliiyotakiwa kulipa kama mwekezaji si raia
 
Hata ruge ni source tosha aliyopngea jana ungejuw huyo mange hata ista simfollow mimi nyie ndio mtafute nani anatoa information zote zinamfikia mange
Umesikilza upande wa kwanza hatujasikiliza upande wa pili ambao ndo kwa mtuhumiwa (makonda) so makonda akishatoa na yeye ya kwake ndo tutajua nani mkweli nani muongo....tatzo mna chuki na makonda ndo tatzo lenu linalowasumbua
 
Sasa silaha zinabebwa na nani? Kama siyo askari!
Askari lazima atembee na silaha tena usiku
Mnachezewa movie na wauza unga alafu mnakubali?
Pole
 
Pole ya nini wakati mkuu na msaidizi wake walikuwa wanaandaa kipindi chao pendwa cha shilawadu?
 
Huyo manji unayemuona nadhani ni Mjukuu au mtoto,Manji ni business empire iliyodumu karibu karne,usifananishe hii empire na watu wanaokaa miaka mitano kwa mshahara wa milioni sijui kumi ambayo ni mapato ya manji kwa sekunde
 
Sasa silaha zinabebwa na nani? Kama siyo askari!
Askari lazima atembee na silaha tena usiku
Mnachezewa movie na wauza unga alafu mnakubali?
Pole
Siwezi kuendeleza mjadala na mtu ambaye anafikiri kwamba kila anayemkosoa RC ni muuza madawa. Mediocre thinking
 
Sidhani hata mama Jesca kama kashawahi kuambiwa pole!
 
1. Mlinzi aliwazuia kuingia...polisi wakamuelekezea bunduki ikapidi awaachie.
2. Waliingia mle studio wakawaforce wakina soud brown kuwapa flash ya kipindi kilichozuiliwa kurushwa na ruge. Kipindi ambacho kiliishia kuvuja kwenye mitandao ya kijamii kwa muujiza flani.

Kama huko sio kuvamia je ni nini?

Halafu MaRC wote nchini wana ulinzi...na mara nyingi hutembelea vituo vya radio na TV kuhojiwa kwenye vipindi...hata makonda mwenyewe ashaenda mara nyingi tu clouds. Utaratibu ni kwamba askari na mabunduki yao hukaa nje! Nao huo ndio utaratibu ambao hata makonda anautumiaga. Ila ijumaa aliachana na utaratibu huo maana alikua kwenye operesheni mfu ya chafua gwajima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…