Mkuu umenikumbusha hakuna rais aliyeingia kwa mbwembwe kama huyu tuliyenaye. Eti nawaonyesha salary slip yangu ipo wapi mbona sijawahi kuiona au Mkuu malaika alikuita ikulu uione?11. Nikirudi Dar nitawaonyenya salary slip yangu,mpaka leo ajawai kuitoa.
Hahahaha alisema katika serikali yake hakuna mwanafunzi atakaye kosa mkopo. Ja hapa hakuna time frame?Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco
kumbe ndio maana naendelea kujiuliza hivi wewe uko na ELIMU YA JUU?The Boss is always right.
Pasco
Kuna mda MTU akinyamaza unaweza usijue ujinga wake kwan lazima uongee wewe kazuiya safari za nje lkn anagharamia safari ya mfalme wa Comoro na kumwingezea siku za kuwa hapa pppyyyuuuuuuAcheni kulalamikia vitu ambavyo mtakatifu mtukufu hakuahidi jamani.. Wapinzani hamna hoja kabisa
Mkuu umenikumbusha hakuna rais aliyeingia kwa mbwembwe kama huyu tuliyenaye. Eti nawaonyesha salary slip yangu ipo wapi mbona sijawahi kuiona au Mkuu malaika alikuita ikulu uione?
Haaaah acha utani!!!!Nakumbuka hili lilikuwa ni tangazo lenye mihemko la TRA ambalo sasa halisikiki tena redioni
Mimi nilisoma mpaka daasa saba enzi za UPE, nikapasi lakini sikuchaguliwa, hivyo nikaishia hilo la saba.kumbe ndio maana naendelea kujiuliza hivi wewe uko na ELIMU YA JUU?
swissme
Hizi lugha za watu sisi wengine zinatupa shida. Kwa vile Magufuli ndie rais wetu, hili jina la rais ulilolitumia wewe la bumpukini ndio jina la rais kwa kilugha gani tena vile? .Magufuli is a country bumpkin.
hata Mh waziri jiran ya lissu nae alitokwa udenda kama wewe.bado najiuliza hivi kweli una Elimu ya juu?jibu ndio au hapana na kama ndio njoo na ushahidi.MUANDISHI.Mimi nilisoma mpaka daasa saba enzi za UPE, nikapasi lakini sikuchaguliwa, hivyo nikaishia hilo la saba.
Hata hivyo nikajiendeleza kwa kujisomea vitabu, majarida na machapisho mbali mbali, kisha nikajiunga na Elimu kwa Njia ya Posta na kumalizia Elimu ya Watu Wazima na nilisomea lile darasa la kule juu, hivyo hiyo elimu inayotolewa kule juu,yaani elimu ya Juu ninayo.
Hivyo najua kusoma, kuandika na kuhesabu mpaka 100, pia najua Kiingereza cha kusalimia na kuombea maji.
Pasco
Ninayo elimu ya Juu niliisomea lile darasa la juu pale Elimu ya Watu Wazima, na elimu hiyo nimeengiza kichwani kwangu na ninayo, ukitaka ushahidi wa maandishi pia upo, fika tuu pale jengo la Elimu ya Watu Wazima, mlangoni kulia kuna ubao wa matangazo, pameandikwa darasa la Elimu ya Watu Wazima liko juu ghorofa ya 4.hata Mh waziri jiran ya lissu nae alitokwa udenda kama wewe.bado najiuliza hivi kweli una Elimu ya juu?jibu ndio au hapana na kama ndio njoo na ushahidi.MUANDISHI.
SWISSME
okNinayo elimu ya Juu niliisomea lile darasa la juu pale Elimu ya Watu Wazima, na elimu hiyo nimeengiza kichwani kwangu na ninayo, ukitaka ushahidi wa maandishi pia upo, fika tuu pale jengo la Elimu ya Watu Wazima, mlangoni kulia kuna ubatili wa matangazo, pameandikwa darasa la Elimu ya Watu Wazima liko juu ghorofa ya 4.
Pasco
Thanks kwa kulielewa hili, watu msituone hivi mkadhania tumesomea elimu zetu kwenye madarasa ya chini tuu, tumesomea hadi madarasa ya juu ghorofani hivyo elimu ya Juu pia tunayo.ok
swissme
sijakuelewa kwasababu hoja zako zote ni sawa yule bwana jirani yake lissu.Thanks kwa kulielewa hili, watu msituone hivi mkadhania tumesomea elimu zetu kwenye madarasa ya chini tuu, tumesomea hadi madarasa ya juu ghorofani hivyo elimu ya Juu pia tunayo.
Pasco
Pole ni tofauti tuu za uwezo wa uelewa.sijakuelewa kwasababu hoja zako zote ni sawa yule bwana jirani yake lissu.
swissme
Who are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee wajua kwamba, kumuita rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais wetu muongo, ahadi zote alizotoa zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zote zitakuwa zimekamilika.
Pasco[/QUOT
Sure!! Rais hawezi kuwa mwongo