toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi kwanini Posta wamejaa wazee tupu?
Halafu ni kwanini wana ukiritimba wa parcel za watu?
Utasikia njoo kesho
Nenda Posta fulani mzigo wako haupo humu
ukifika huku wanakwambia umefika lakini bado hatujazitoa kwenye gari
Posta huu ukiritimba mpaka lini?
Hivi hili shirika ni kwanini Serikali inaliacha linakufa " kifo cha mende?
Hivi wizara husika na Serikali hivi Posta wamewapaka dawa gani hamlifatilii hili shirika?
Huku arusha ndo wana mizinguo balaa
Mzigo mpaka uupate hola! Ushapoteza nauli na muda wako wa kutosha
I hate this stupidy behaviour
Halafu ni kwanini wana ukiritimba wa parcel za watu?
Utasikia njoo kesho
Nenda Posta fulani mzigo wako haupo humu
ukifika huku wanakwambia umefika lakini bado hatujazitoa kwenye gari
Posta huu ukiritimba mpaka lini?
Hivi hili shirika ni kwanini Serikali inaliacha linakufa " kifo cha mende?
Hivi wizara husika na Serikali hivi Posta wamewapaka dawa gani hamlifatilii hili shirika?
Huku arusha ndo wana mizinguo balaa
Mzigo mpaka uupate hola! Ushapoteza nauli na muda wako wa kutosha
I hate this stupidy behaviour