Tatizo la wazee wengi wanaona dharau, kutumwa na watu wa umri wa chini. Kwa iyo mashirika mengi ya serikali yana wazeee wengi ambao tayari wana umri Mkubwa na hawataki kutumwa na kupewa maelezoPosta, nikadhani unauliza maeneo ya posta kwanini yamejaa mazee!
Umri wa kustaafu ni miaka 60. Hata wao walikuwa vijana kama wewe. Utazeeka na waliopo primary leo watakwambia wewe Mzee. Uzee ni process. Rais wa Tanzania ana miaka zaidi ya 60.Hivi kwanini Posta wamejaa wazee tupu?
Halafu ni kwanini wana ukiritimba wa parcel za watu?
Utasikia njoo kesho
Nenda Posta fulani mzigo wako haupo humu
ukifika huku wanakwambia umefika lakini bado hatujazitoa kwenye gari
Posta huu ukiritimba mpaka lini?
Hivi hili shirika ni kwanini Serikali inaliacha linakufa " kifo cha mende?
Hivi wizara husika na Serikali hivi Posta wamewapaka dawa gani hamlifatilii hili shirika?
Huku arusha ndo wana mizinguo balaa
Mzigo mpaka uupate hola! Ushapoteza nauli na muda wako wa kutosha
I hate this stupidy behaviour
Utazeeka pia. Mbona wazazi wetu wamezeeka pia nao waondolewe kazini kabla ya wakati?Kuna kipindi hua natamani wazee wote wastaafu kutoka serikalini waachiwe vijana wanaoweza kwenda na kasi ya dunia. Wazee wengi wako slow sana, na waka ka mentality flani ka utumishi wa umma wa miaka ya 80
Vijana tena?Acheni tu majirani watucheke ILA ukweli watanzania CUSTOMER CARE hakuna, yaani ni fafa kubwa...nenda airport ya kilimanjaro utashangaa...mbaya zaidi uwe umetokea nchi za wenzetu huko...mgeni anafika airport vijana wako busy wanapiga story hawana muda, mazingira yenyewe sio safi
Walivyokuwa vijana walichapa kazi sana. Msingeyakuta haya mashirika.Kote tu katika ofisi za serikali wazee ni shida and slow. Kuna mmoja pale TRA Iringa, tena frontdesk, ni kazi.