Satuuuu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,849
- 1,993
Ayo ni maneno ya kizushi hakuna picha wala movie inayoonesha sura moja tu.Kwahio hata wewe unaweza igiza na hakuna atakae kuona wewe kma Yesu.Unashangaa kitovu?mbona Yesu yupo UK anakula kuku kwa mrija jombaa?na alikuja kutalii Kilimanjaro wakataka kumpaka mafuta akawachapa vibao na kuwambia yeye si Yesu bali alikua steringi wa ile muvi ya Yesu?