Uko sahihi, wengine wanaamini ni pichaHizo si picha bali michoro
Mchoro ni picha ya kubuni, lakini picha ni inatokana kitu halisiMkuu ni ipi tofauti kati ya mchoro na picha?
Acha kupayuka wewe,zipo picha nyingi zenye sura tofauti na muonekano tofauti,zipo nyingine nyeusi kabisa je huyo wako unaemsema wewe yupo sjui UK nani amekwambia kuna mtu anamuomba yeye ?Bila shaka nyie ndio mnaomba kwa kutumia picha ya yesu wakati ile picha ni lijamaa tu fulani linakula bata UK