Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,489
- 8,626
Najitolea sadaka kwa masister 3 under 25 wasikose cha kutoa j2 😎
Duh kumbe kuna maombi ya kulala kifudifudi kwa mmaskofu then mnapakwa mafuta??
Kuna dini zingine zinamambo ya ajabu
Mbona wanajenga majumbaKutokuoa TU ni sadaka tosha,pili padre alipwi mshahara hana KAZI ya kipato zaidi ya kuhudumia watu tu
Wote au wenye kupata bahati ya marafiki wahisani.Mbona wanajenga majumba
Kama ni marafiki na wahisani kwanini wanajenga kwa kificho. Sasa kama .tu anajenga nyumba anashindwaje kutoa sadakaWote au wenye kupata bahati ya marafiki wahisani.
Unadhani Hela ya kanisa inaliwa hovyohovyo
Sio kosa kumjengea ndugu wazazi nyumba wao ni sehemu ya familia,yeye mwenyewe ni sadaka.Kama ni marafiki na wahisani kwanini wanajenga kwa kificho. Sasa kama .tu anajenga nyumba anashindwaje kutoa sadaka
SawaKwanini konda halipi nauli?
Nadhani anakatwa kwenye mshahara wake,PAYE!Kwa nini Rais halipi kodi?
Hilo ndio jibu lake
MShahara wa rais haukatwi kodiNadhani anakatwa kwenye mshahara wake,PAYE!