Ni kwanini tunaotoa Sadaka za Sarafu ( Coins ) Makanisani huwa tunaangaliwa kwa Jicho la Usununu ( Hasira ) na Waumini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,641
109,014
Kwani Wewe umekuja Kanisani Kusali ( Kuabudu ) au Kumchunguza GENTAMYCINE anatoa Sadaka ipi na Kiasi gani?

Tafadhali Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) kama ikiwapendeza rejesheni zile Noti za Tsh 500/= na mkiweza pia bunini na za Tsh 200/= kwani mtatufichia Aibu Sisi akina Choka Mbaya ambao wakati wa kutoa Sadaka ukitumbukiza tu Tsgi 500/= au Tsh 200/= au hata Tsh 100/= Waumini Wataalam, Wambea na Wanoko watajua tu na baada ya Ibada unageuka kuwa Thread ( Mada ) ya Kujadiliwa nao badala ya Kujadili neno la Kiroho la Siku tulilolishwa bila Mboga na Padre au Paroko au Mchungaji.

Mungu haangalii ukubwa wa Sadaka yako bali Moyo wako, Matendo yako, Imani yako Kwake na Unavyomuabudu. Tusichunguzane tafadhali......!!
 
Kwani Wewe umekuja Kanisani Kusali ( Kuabudu ) au Kumchunguza GENTAMYCINE anatoa Sadaka ipi na Kiasi gani?

Tafadhali Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) kama ikiwapendeza rejesheni zile Noti za Tsh 500/= na mkiweza pia bunini na za Tsh 200/= kwani mtatufichia Aibu Sisi akina Choka Mbaya ambao wakati wa kutoa Sadaka ukitumbukiza tu Tsgi 500/= au Tsh 200/= au hata Tsh 100/= Waumini Wataalam, Wambea na Wanoko watajua tu na baada ya Ibada unageuka kuwa Thread ( Mada ) ya Kujadiliwa nao badala ya Kujadili neno la Kiroho la Siku tulilolishwa bila Mboga na Padre au Paroko au Mchungaji.

Mungu haangalii ukubwa wa Sadaka yako bali Moyo wako, Matendo yako, Imani yako Kwake na Unavyomuabudu. Tusichunguzane tafadhali......!!
Acha ubahiri
 
Kwani Wewe umekuja Kanisani Kusali ( Kuabudu ) au Kumchunguza GENTAMYCINE anatoa Sadaka ipi na Kiasi gani?

Tafadhali Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) kama ikiwapendeza rejesheni zile Noti za Tsh 500/= na mkiweza pia bunini na za Tsh 200/= kwani mtatufichia Aibu Sisi akina Choka Mbaya ambao wakati wa kutoa Sadaka ukitumbukiza tu Tsgi 500/= au Tsh 200/= au hata Tsh 100/= Waumini Wataalam, Wambea na Wanoko watajua tu na baada ya Ibada unageuka kuwa Thread ( Mada ) ya Kujadiliwa nao badala ya Kujadili neno la Kiroho la Siku tulilolishwa bila Mboga na Padre au Paroko au Mchungaji.

Mungu haangalii ukubwa wa Sadaka yako bali Moyo wako, Matendo yako, Imani yako Kwake na Unavyomuabudu. Tusichunguzane tafadhali......!!
Sio lazima utoe hela, waweza peleka hata makinda mawili ya njiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom