Kwanini Nyimbo za Zamani huwa zinapendwa na kupendeza sana kwenye vilabu vya pombe za kienyeji?!!!

NIMEONA

JF-Expert Member
Aug 4, 2019
3,865
5,683
eid mubarak!!

Hii kitu nimeiona kwenye miji kadhaa niliyowahi kuishi hapa nchini.....
Ukitembelea sehemu zinazopatikana pombe za kienyeji (gongo, wanzuki, chimpumu, mnazi n.k) basi burudani yao kubwa ni hz nyimbo za zamani.....

Ddc mlimani park
Sikinde
Msondo ngoma n.k

Hizi ni nyimbo zenye heshima sana kwenye jamii na zinachukuliwa kama mfano wa kuigwa na vizazi vipya, sasa kwenye mabaa ya kienyeji zimeangukiaje?!!!! Unapita unasikia kitu 'Shukrani kwa Wazazi' kwa hewa mpaka unatikisa kichwa na kutamani kusimama uumalize kuusikiliza, ile unaangalia inapotoka sauti; he, ni kilabu cha kienyeji na watu wamejichokea hawana maadili yoyote.....lkn wanasikiliza maadili. Imekaaje hii?

Karibuni!
 
eid mubarak!!

Hii kitu nimeiona kwenye miji kadhaa niliyowahi kuishi hapa nchini.....
Ukitembelea sehemu zinazopatikana pombe za kienyeji (gongo, wanzuki, chimpumu, mnazi n.k) basi burudani yao kubwa ni hz nyimbo za zamani.....

Ddc mlimani park
Sikinde
Msondo ngoma n.k

Hizi ni nyimbo zenye heshima sana kwenye jamii na zinachukuliwa kama mfano wa kuigwa na vizazi vipya, sasa kwenye mabaa ya kienyeji zimeangukiaje?!!!! Unapita unasikia kitu 'Shukrani kwa Wazazi' kwa hewa mpaka unatikisa kichwa na kutamani kusimama uumalize kuusikiliza, ile unaangalia inapotoka sauti; he, ni kilabu cha kienyeji na watu wamejichokea hawana maadili yoyote.....lkn wanasikiliza maadili. Imekaaje hii?

Karibuni!
Mtu mzima mwenye akili nzuri akikaa chini ya mti kwenye kigoda, wewe hata upande ule mti mpaka kileleni huwezi kuona umbali anaouona yeye.

Don't judge book by the cover.
 
eid mubarak!!

Hii kitu nimeiona kwenye miji kadhaa niliyowahi kuishi hapa nchini.....
Ukitembelea sehemu zinazopatikana pombe za kienyeji (gongo, wanzuki, chimpumu, mnazi n.k) basi burudani yao kubwa ni hz nyimbo za zamani.....

Ddc mlimani park
Sikinde
Msondo ngoma n.k

Hizi ni nyimbo zenye heshima sana kwenye jamii na zinachukuliwa kama mfano wa kuigwa na vizazi vipya, sasa kwenye mabaa ya kienyeji zimeangukiaje?!!!! Unapita unasikia kitu 'Shukrani kwa Wazazi' kwa hewa mpaka unatikisa kichwa na kutamani kusimama uumalize kuusikiliza, ile unaangalia inapotoka sauti; he, ni kilabu cha kienyeji na watu wamejichokea hawana maadili yoyote.....lkn wanasikiliza maadili. Imekaaje hii?

Karibuni!
Ukitaka kujua hawa akina Diamond na akina Harmonize, sijui Ali kiba hawana vipaji na hawajui kitu ila wamekutana na visenti sikiliza nyimbo za zamani

Hebu sikiliza simba wanyika, sikiliza juwata mpaka ottu nk, sikiliza ddc ya wakati ule!! Msikilize mbaraka !!! Nk yaani unapata elimu ya maisha kabisa !!
 
Ukitaka kujua hawa akina diamond na akina harmonize ,cjui Ali kiba hawana vibaji na hawajui kitu ila wamekutana na visenti sikiliza nyimbo za zaman
Hebu sikiliza simba wanyika,sikiliza juwata mpaka ottu nk,sikiliza ddc ya wakati ule!! Msikilize mbaraka !!! Nk yani unapata elimu ya maisha kabisa !!
Ddc mlimani park - teddy mwana Zanzibar
Ni
 
Vijana wa sikuhz wanywa Hennessy watajulia wapi hizo ngoma, walevi wengi sikuhz ni WA 2000+
 
Ukitaka kujua hawa akina diamond na akina harmonize ,cjui Ali kiba hawana vibaji na hawajui kitu ila wamekutana na visenti sikiliza nyimbo za zaman
Hebu sikiliza simba wanyika,sikiliza juwata mpaka ottu nk,sikiliza ddc ya wakati ule!! Msikilize mbaraka !!! Nk yani unapata elimu ya maisha kabisa !!
Aisee, ni kweli kabisa!
 
Kwasababu walevi wa hizo pombe za kienyeji wengi wao umri umekwenda na hizo ndio nyimbo zao zinazowapa hisia na kuenjoy zaidi,issue ni wateja wa hivyo vilabu ni watu ambao umri umekwenda.
 
Back
Top Bottom