Kwanini Mwalimu Nyerere aling'oa reli ya Dar-Lindi, Mtwara, Nachingwea?

mwenye mapungufu ana hadhi ya kuwa mtakatifu?

Mbona Tunakuwa MBUMBUMBU hivi, utakatifu wa Nyerere sio wa Watanzania bali ni wa Wakatoliki, kwa misingi yao hoa Wakatoliki wakiamua kumpa Nyerere utakatifu ni wao na kwa sababu zao amabzo hazina misingi wala Faida yoyote kwa Watanzania, Uganda kuna "Watakatifu Mashahidi wa Uganda" Waganda wanafaidika nini na hao, Durful kuna Sister Bhakita je WaDurful wanafaidika na ninim na huyo Mtakatifu

Mwanzilishi wa Hii Hoja yupo kwenye lengo la kidini ili amponde Nyerere, lakini kwa Bahati mbaya hata Historia Hajuhi, sijuhi hii hoja ilikuwa kwenye Mhadhara gani?
 
resize_image.php


Hili ni jambo ambalo ukimuuliza Nyerereist yoyote hatokupa jibu

Mindhali humu kuna GREAT THINKERS naamini tutapata data tuu kwa nini the so called baba wa taifa alimua hii reli ingolewe

Nawasilisha
Ilikuwa inapita wapi?
 
Nyerere pia alitaifisha majumba ya watu, mashule na hospitali kwa nia njema sio kwa nia ya kulikomoa kundi fulani katika jamii na kulinufaisha kundi lingine. Maamuzi haya yaliwajeruhi wakristo kwa waislamu lakini ilikuwa kwa faida ya sisi wote.

Nyerere kama binadamu alikuwa na mapungufu yake hakuwa malaika

Mbona Kikwete tunamlaumu sasa? Mapungufu ni mapungufu haijalishi yalifanywa na nani. Nyerere naye alifanya makosa mengi sana tu. Matatizo tuliyo nayo sasa kama taifa yeye ndiye chanzo kikubwa. Kama mwasisi wa taifa alishindwa kuweka misingi imara ya kuleta maendeleo, akatumia ujinga wa watanganyika kujiwekea uigo wa kutawala kiulauni bila kupingwa. Nadhani alitakiwa aweke misingi imara tangu mwanzo bila kujali u-naive wa watu wakati ule. Ndivyo kina Washington kule US walivo jaribu kufanya. Ni vigumu kumgusa Mwalimu, lakini pia hakututendea haki sana Watanganyika.

Aliwahi kusema katiba hii ilikuwa inampa nafasi ya kuwa dikteta! Sikuamini haya maneno yalitoka kwa mtu kama yeye. Yeye ndiye aliyesimamia utungwaji wa katiba hii 62 na 77. Kwa nini hakuweka misingi ya kuondoa udhaifu huu mkubwa kwenye katiba yetu. Alivotoka akahakikisha kaacha vipindi viwili tu kwa successors wake, kwa nini hakulifanya hilo mapema. Maana misingi ni misingi tu, haijalishi wewe ni nani.

Sina uhakika lakini kama ni kweli alitoa maamuzi ya kung'oa reli alifanya makosa makubwa sana. Huyu anayesema kinyozi haweki udobi kwa watu wenye vipara hana maadili kabisa. Kwani kwa vinyozi wananyoa nywele za kichwani tu? Inakuwaje kitongoji au mtaa mzima watu wote wasiwe na nywele? Huu ni upuuzi mtupu. Miundo mbinu ya kuunganisha nchi inajali tu kama una watu wanaishi pale. Madam watu wanaishi pale basi pasina shaka kuna shughuli zinazo waweka. Na ni haki kuwawekea miundo mbinu ya kurahisisha maisha yao.

Mambo ya kutenga nchi kihuduma ndiyo yanayopelekea Sudani ya kusini kujitenga. Tuitendee nchi yote kwa usawa. La kama tunashindwa basi tuikate kwa majimbo ili kila watu kwao wawe na serikari ya ndani ya kuendesha mambo yao.

Watanzania tukubali tunahitaji alternative power, a radical one which can bring the change we desire. Kufanya kitu kile kile kwa njia ile ile kwa wakati wote huku ukitegemea mabadiliko, utakuwa huna akili. Tunahitaji mabadiliko makubwa hii nchi, makubwa sana. Tunahitaji kufikiri tofauti na kutenda tofauti. Tunahitaji kujaribu, tusiogepe. Ndiyo dawa, Tuache Unyerereism, Umwinyiism, Umkapaism na Ukikweteism. Tunahitaji siasa mbadala. Staunch followers wa CCM should not worry, It is possible to have an alternative politics na nchi ikaenda tena vizuri sana. Wananchi tu wajue uwezo wao, kwamba mtu akiboa anatolewa, basi. Siyo CCM wanaboa halafu tunaogopa kuwaweka pembeni. Tuwaweke tu pembeni waone wengine wakifanya, wakirudi panapo majaliwa watajifunza.

RELI, BARABARA ZA KUUNGANISHA NCHI YOTE NA SIYO KUSINI TU NI MUHIMU KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Mbona Kikwete tunamlaumu sasa? Mapungufu ni mapungufu haijalishi yalifanywa na nani. Nyerere naye alifanya makosa mengi sana tu. Matatizo tuliyo nayo sasa kama taifa yeye ndiye chanzo kikubwa. Kama mwasisi wa taifa alishindwa kuweka misingi imara ya kuleta maendeleo, akatumia ujinga wa watanganyika kujiwekea uigo wa kutawala kiulauni bila kupingwa. Nadhani alitakiwa aweke misingi imara tangu mwanzo bila kujali u-naive wa watu wakati ule. Ndivyo kina Washington kule US walivo jaribu kufanya. Ni vigumu kumgusa Mwalimu, lakini pia hakututendea haki sana Watanganyika.

Aliwahi kusema katiba hii ilikuwa inampa nafasi ya kuwa dikteta! Sikuamini haya maneno yalitoka kwa mtu kama yeye. Yeye ndiye aliyesimamia utungwaji wa katiba hii 62 na 77. Kwa nini hakuweka misingi ya kuondoa udhaifu huu mkubwa kwenye katiba yetu. Alivotoka akahakikisha kaacha vipindi viwili tu kwa successors wake, kwa nini hakulifanya hilo mapema. Maana misingi ni misingi tu, haijalishi wewe ni nani.

Sina uhakika lakini kama ni kweli alitoa maamuzi ya kung'oa reli alifanya makosa makubwa sana. Huyu anayesema kinyozi haweki udobi kwa watu wenye vipara hana maadili kabisa. Kwani kwa vinyozi wananyoa nywele za kichwani tu? Inakuwaje kitongoji au mtaa mzima watu wote wasiwe na nywele? Huu ni upuuzi mtupu. Miundo mbinu ya kuunganisha nchi inajali tu kama una watu wanaishi pale. Madam watu wanaishi pale basi pasina shaka kuna shughuli zinazo waweka. Na ni haki kuwawekea miundo mbinu ya kurahisha maisha yao.

Mambo ya kutenga nchi kihuduma ndiyo yanayopelekea Sudani ya kusini kujitenga. Tuitendee nchi yote kwa usawa. La kama tunashindwa basi tuikate kwa majimbo ila kila watu kwa wawe na serikari ya ndani ya kuendesha mambo yao.

Kwa hiyo Kikwete asilaumiwe kwa sababu hata Nyerere nae alikuwa na mapungufu??? Hizo hoja ni pumba kabisa!! Kama kumtetea JK ndio kuleta mambo ya hovyo hovyo namna hi basi kazi ipo!!
-Hiyo reli ya Dar-Mtwara ilikuwa inapita njia gani?
-Iling'olewa lini na kwa amri ya nani?
 
Hata kama ingekuwepo ningempongeza kama angeing'oa kwa sababu watu wa huko ni wavivu hawafanyi kazi so Baba wa taifa hakuona sababu ya kuwapelekea reli ili waone changamoto na wajue wajibu wao kuwa wanatakiwa kufanya kazi na sio yale waliyozoea.:coffee:
 
Ndugu,
Hata kama unamchukia mtu si vizuri kumzushia mambo ya uongo....Hapajawahi kuwa na reli ya Dar- Mtwara ni uwongo mkubwa...reli iliyokuwepo ni Mtwara mpaka Masasi iliyong'olewa na mkoloni kwa kutokuwa na umuhimu wa kiuchumi wakati huo....mbona Zanzibar ilikuwepo treni ya Bububu na iling'olewa pia na hulalamiki?

Ni kweli reli ilikuwepo Mtwara To Masasi lakini baada ya uhuru wenye project yao sijui walikuwa Mkaburu au Waingereza wakaona hawawezi kufanya kazi kwenye mazingila ya ujamaa wakasepa na reli yao. Hivyo sio Nyerere ALINGOA RELI, huo ulikuwa msimamo wa company ya kulima karanga, mikorosho na mkonge Southen Region kufeli. Mwenye data sahihi atuwekee hapa tusiandikie mate -----.
 
Nasema haijawahi kuwepo

Mkuu kulikuwa na reli, lakini haikutokea Dar kwenda kusini, nadhani ilianzia somewhere huko huko kisini na kuishia huko huko, sikumbuki kama ilikuwa na uhusiano na zao za korosho au karanga, lakini ni kweli kuwa ilikuwa hailipi. Ni reli ambayo ilijengwa na wadachi (deusche).
 
Someni saga nzima ya mradi wa karanga ilivyokuwa ndio mtaelewa kwa hili (Tanganyika groundnut scheme - Definition) ulikuwa ni mradi wa kisiasa zaidi miaka hiyo ya 1940-1950(Nyerere katu hahusiki pamoja na mapungufu yake).Kwa ujumla miradi ilikuwa miwili mmoja DODOMA na huu wa MTWARA....baada ya vita ya pili ya dunia Uingereza ilipata shida ya chakula na hivyo kuamaua kuanzisha miradi hii iliyoshindwa vibaya sana na hivyo wao wenyewe ndio waling'oa hiyo reli ya Mtwara na katu si Nyerere
 
Mkuu kulikuwa na reli, lakini haikutokea Dar kwenda kusini, nadhani ilianzia somewhere huko huko kisini na kuishia huko huko, sikumbuki kama ilikuwa na uhusiano na zao za korosho au karanga, lakini ni kweli kuwa ilikuwa hailipi. Ni reli ambayo ilijengwa na wadachi (deusche).

Nimekataa hiyo ya DAR-MTWARA hiyo nyingine naikubali ila haikujengwa na Wadachi bali Waingereza
 
member
hata wewe umechemka hapakuwepo na reli ya Mtwara Masasi, iliyokuwepo na kung'olewa ilikuwa ya Mtwara Nachingwea. Sasa endelea kutoa maoni

fidodido
 
Hivi kama hakuna tena uzalishaji ndio in'golewe njia? Hee ama kweli nyerere alikua ni adui mkubwa wa waislam. Aliwahi pia kusema kua kama ana uwezo angevitupa visiwa vya zanzibar ktk bahari ya hindi.


We Mtabe wacha kuvuruga watu hapa, waziri mkuu Tanganyika wakati huo mpaka Tanzania alikuwa Mh Marehemu Rashidi Kawawa, kaulize usikurupuke ndg. Mawaziri wangapi walikuwa Waisilam!!Fundikira, Maswanya, wengi tuu bila ubaguzi. Alisema wapi?????????(Kwenye Red!! Usizushe!!!!) Tena angechukia Uisilam asingelikubali muungano na Zanzibari kupata Tanzania maana majority ya wakazi ni Waisilamu. Wacha siasa za maji taka, vita yetu ni mafisadi kina RA na group yake wanaofilisi nchi nchana kweupe, wanaacha nchi utupu, wanahamishia fedha zetu ughaibuni(Canada,Cay Man Is etc). Achana na historia watoto wako hawatakwenda shule maana hutaweza kulipa nchi ikifilisiwa. Tushikamane bila kujali dini kabila wala rangi tukomboe Tanzania yetu toka mikono ya mafisadi!!!!!!
 
Someni saga nzima ya mradi wa karanga ilivyokuwa ndio mtaelewa kwa hili (Tanganyika groundnut scheme - Definition) ulikuwa ni mradi wa kisiasa zaidi miaka hiyo ya 1940-1950(Nyerere katu hahusiki pamoja na mapungufu yake).Kwa ujumla miradi ilikuwa miwili mmoja DODOMA na huu wa MTWARA....baada ya vita ya pili ya dunia Uingereza ilipata shida ya chakula na hivyo kuamaua kuanzisha miradi hii iliyoshindwa vibaya sana na hivyo wao wenyewe ndio waling'oa hiyo reli ya Mtwara na katu si Nyerere
Safari ni Safari (Ila wacha safari uokoke) weee wa maana kweli maana tungepalulana hasa forum, umetufungua macho. Watu walichukua hiyo kuwa isue na kumwandama muasisi wa taaifa hili. Tupoe sasa tudeal na current isue DOWANS.
 
Mbona Nyerere hakungoa ya Tanga iliyokuwa inaenda kwa Waislamu Majority
Mbona hakungoa ya Kigoma na Tabora inayopita kwenye Waislamu Majority

Hivi huu udini wa Humu JF unaletwa na nini?
Hivi ni kwa nini?
 
resize_image.php


Hili ni jambo ambalo ukimuuliza Nyerereist yoyote hatokupa jibu

Mindhali humu kuna GREAT THINKERS naamini tutapata data tuu kwa nini the so called baba wa taifa alimua hii reli ingolewe

Nawasilisha

Acheni uzushi wa chuki.
 
Back
Top Bottom