ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,655
- 57,048
Nauliza tu wajumbe Ni kwanini mabuchani inapotoka kitimoto haikaguliwi kabla ya kuliwa tofauti na nyama nyingine Kama ya ng'ombe.
inakaguliwa kama nyama zingine kiongoziNauliza tu wajumbe Ni kwanini mabuchani inapotoka kitimoto haikaguliwi kabla ya kuliwa tofauti na nyama nyingine Kama ya ng'ombe.
SwaibaKitimoto ni nyama takatifu,haipaswi kukaguliwa
Nyama Ya Mud!!!Kitimoto ni nyama takatifu,haipaswi kukaguliwa
Swahiba hii comment imekuibua kutoka mafichoni?Swaiba
Kila mmoja aseme Ameen.inakaguliwa bwasheee
tunamshukuru Mungu muumba wa vyote kwa kutupa
huyu mnyama
Ukiona hivyo ujue inapendwa.Naona nyuzi za kupromote kitimoto zimekuwa nyingi
Nguruwe anakaguliwa na kugongwa mihuriNauliza tu wajumbe Ni kwanini mabuchani inapotoka kitimoto haikaguliwi kabla ya kuliwa tofauti na nyama nyingine Kama ya ng'ombe.
Kwa niaba ya waliotangulia uko juu..AmeenKila mmoja aseme Ameen.
Pale moshi kiborlon inatengenezwa tamu balaa.Kwa niaba ya waliotangulia uko juu..Ameen