Kwanini nyama ya nguruwe haikaguliwi?

Kwanini nyama ya nguruwe haikaguliwi?

Pale moshi kiborlon inatengenezwa tamu balaa.
Watu wengi wanaotoka mikoani kwenda kuzika moshi,wakishamaliza kuzika wakati Wa kurudi kama ni Arusha lazima coaster itie timu pale.
Kumbeee...wanafaidi aisee
 
pale stand ya old moshi sio mkuu
Pale moshi kiborlon inatengenezwa tamu balaa.
Watu wengi wanaotoka mikoani kwenda kuzika moshi,wakishamaliza kuzika wakati Wa kurudi kama ni Arusha lazima coaster itie timu pale.
 
Wewe umeuliza kama unaweza kukagua kinyesi?Namimi nikakujibu unaweza....Tena nikatoa mfano hospitali wanavyopima kinyesi Out of point iko wapi hapo?
Angalia hata umesahau nani aliyekuuliza, aisee? Come down, come down, come down! Nimekwambia mara 3.
 
Nauliza tu wajumbe Ni kwanini mabuchani inapotoka kitimoto haikaguliwi kabla ya kuliwa tofauti na nyama nyingine Kama ya ng'ombe.
Sio kweli bro nyama ya kitimoto inakaguliwa kabisa kama umewahi kufika Iringa au ukienda Iringa tembelea machinjio ya nguruwe yapo Kihesa kilolo huko ndo nilishuhudia kwa mara ya kwanza kuona utumbo,kesho,masikio ya kitimoto yakitengenezwa vizuri na kuliwa,ndo huko ambako nilikuta supu ya kitimoto.Aisee kitimoto inakaguliwa na kupigwa ule muhuri
 
Nguruwe pori sawa

Lakini haya mabroiler ya mjini yanaharibu ngozi + shepu + jasho bovu..Msile hayo madudu kwakweli
 
Angalia hata umesahau nani aliyekuuliza, aisee? Come down, come down, come down! Nimekwambia mara 3.
Mimi sijali aliyeandika (mtu)..najali najali alichoandika(hoja)

Sasa wewe ulimjibia mwenzako ndomana nikawaweka kundi moja.
ila hata nikicome down au nikacome up bado hoja yangu inabaki palepale kinyesi kinakaguliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom