Lonestriker
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 640
- 241
Wasalaam Aleykum JF!
- Well, we have been running a brutal campaign aspiring to be elected to the EAC assembly, the highest Legislative body among the five Nation's members that includes Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, and Burundi. I believe the times requires now that I stand up and make my case to you the people of who I am and what are my intentions given the opportunity to represent our Nation, next week in Dodoma!
- I do not intend to fake my way through this, but just want to make my case very clear while representing the real me, William if you know what I mean!, SO HELP ME GOD!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA AIBARIKIE JF KUMKOMA NYAN!
William.
Yakutya yo lugha ikutumika EAC.Agwe William, naule ukuwandika cingeleza?
Utakuwa unamuonea ukimponda kwa kuwa na kiingereza kibovu,laumu mfumo wetu wa elimu kwani sitashangaa hata wewe ukiandika au kuongea hio broken English,ndio mazao ya mfumo wetu mbovu.Wahadhiri wa mlimani tunawaona wanavyopata vigugumizi kwenye kuongea Kiingereza kwenye kipindi cha This week in Perspective...ni tatizo letu sote tuliopitia kwenye mfumo wa elimu ya Tanzania.
william hafai hata kuwa mtendaji wa kata.........he cannot think beyond the next meal!!
.
Mkuu, naona wewe hujaelewa!
Hawi attacked kwa sababu ya UCCM wake!... hata kidogo! ... mbona kuna watu ndani ya CCM wanakubalika na Watanzania wengi? .. watu makini wenye uelewa, busara na wanaoweka maslahi ya nchi mbele!.
Sasa, hivi wewe unae-mtetea umesoma vizuri anachoandika, ume-read between lines akili yake?, yaani vitu kama IQ na vingine ... sasa huyu bwana IQ au ufahamu wake ni wa chini mno na hicho ndicho kinacho-watatiza watu wengi hapa na wala si UCCM wake!
Sasa mfano mtu anataka kugombania nafasi fulani alafu hajui anaamini nini juu ya hicho kitu, msimamo wake unayumbayumba, hajui madhara au faida ya msimamo atakao-utetea, Je - hajui watanzania wanataka nini kwenye EAC!, hana maono ya kwamba labda in 30 or 50 years from now anataka EAC iwe vipi!.
Sasa ndugu, mtu kama huyo wa nini? - si atatuletea matatizo tu huko mbele ya safari?! - na hata kama yupo kwenye chama chako au hata kama yupo kwenye chama kingine unamweleza tu kuwa atawazamisha Watanzania.
Mkuu, ingawa watu wengi hawaipendi CCM, lakini katika hili ni bora CCM ikatafuta watu wengine makini kwa ajili ya Taifa letu lakini siyo huyu bwana ambae hata hajitambui!
Huyu bwana bado ana u-toto utoto hivi kwenye kichwa chake na ufahamu wake au tuite IQ yeke bado, na hivi vitu si vya darasani, unaweza ukapata hata PhD lakini hivi vitu havijatoka kichwani - sasa huo ni UCCM?
Anaongelea mustakabali wa Tanzania yetu kwenye EAC kama yupo jukwaa la JF-CHIT-CHAT
Sasa ndugu yangu mtu wa dizaini hii .. wa nini?
.
- My Bro we chose to join the EAC so now we need to work towards eliminating Fears, we need to work hard and find a way to balance our economic stand with other EAC members using the best asset in our disposal, I mean our land!
- How do you join the EAC and later claim that you want nothing to do with the EAC Viza, I am reading you right? I mean we need one Viza for EAC in order to Micro-economy, our people must free to move around so that with open policies on trade they can sell and buy products from point one to point B without interruptions, understand that sometimes the markets requires guarantee of movement of the people and security for their products and their lives.
- I do not believe in fear minded policies which you seem to preach and believe in!
William.
Nilipo bold "ni mapema mno ku generalize kuwa watu wengi hawaipendi CCM huku unatambua ndio hao hao waliopeleka wawakilishi (wabunge) kupitia CCM kwa zaidi ya asilimia 80%" labda uje na agenda hii 2015 kwa sasa no justification.
Whether or not IQ tests are an accurate measure of the intelligence is open to debate. It is difficult to define exactly what constitutes intelligence, it may be the case that IQ scores represent a very specific type of intelligence.
Kwa ujumla IQ ya mtu haipimwi tu kwa elimu ya darasani ila ujengwa na vitu vingi ikiwemo uzoefu kwa kiasi kikubwa.Mtu anaweza kuwa na IQ ndogo katika jambo fulani lakini through experience ama practice akakuza kipaji chake to a certain level of IQ katika suala fulani ambalo mwazoni hakuwa competent sana.
Iwapo mtu huyu ameweza kujisimamia katika kazi zake za Ubaharia na akaperform for almost 20 years sio wa kupuuza hata kidogo. Wenye mashaka naye ingekuwa ni busara kujaribu kudodosa kule alipokuwa anafanyia kazi. Toka mwanzo no body aliyekuja na utetezi humu kuonyesha uwezo wa Willy ni mdogo huko alipokuwa akifanya kazi zaidi ya mwenyewe kuelezea ni jinsi gani aliweza kuisimamia kampuni yake na ika perform well (If we want more, here is the exactly point to start with).
Kuna watu wana IQ kubwa katika "ku analyze mambo" lakini unapokuja kwenye job performance ni balaa. Narudia kuwa huyu ni kijana mwenzetu,MwanaJF maadam ametuonyesha nia hapa tofauti na wenzake ambao sio Member hapa tuna wajibu wa kumjenga,kumuelimisha lakini si kumtukana. Na imani anaweza kuwa Mwanafunzi bora wa kupigiwa mfano hasa atakapoanza kuizoea kazi yake. Pengine ningekubaliana na wewe for the case of his EQ ambayo kimsingi pia ni rahisi kujengwa katika siasa.
Mussa Wangota,
Umejitahidi sana kumnadi William Malecela lakini ukweli unabaki pale pale kuwa hachaguliki! Unasema kwako wewe Willy is a hero na kwamba ni mpambanaji mzuri pamoja na madhaifu yake. Kwanza ulipaswa udemonstrate upambanaji wake hapa nchini maana sisi tunajua sehemu kubwa ya maisha yake hasa ya ujana kaishi ughaibuni miaka tele.
Tunachokumbuka ni kuwa baada ya kupata Division IV alikimbia nchi. Swala la kwamba Willy kwako ni hero siyo hoja kwetu maana kuna mtu mwingine anaweza nae akaja hapa akatuambia kwamba Wassira nae ni hero kwake kwa hiyo tumsapoti tumpe Urais. Is that make sense?
Unadai pia wengi wetu tumetangaza hapa kuwania baadhi ya majimbo kibao na kwamba dhambi hizi tunazoziasisi hapa ndizo tutakazokutana nazo kwenye majukwaa ya kisiasa. Na kwamba Hakuna atakaye kosa shutuma, skendo ama tusi jukwaani. Mimi naomba nikuulize hivi Nassari alikuwa na skendo wakati anaomba kura Arumeru? Pia unadai ni vizuri tujadili issues (ideas) na wala sio mtu (people) ama matukio (events) lakini unasahau kwamba hiso issue zinabebwe na ubongo wa mtu ambae nusura afeli Form IV, tutegemee nini katika mang'amuzi ya mambo mazito ndani ya Bunge la EAC?
Siwezi kuongelea hizo asilimia 80% coz wote tumeona na kusikia mengi kuhusiana na namna zinavyopatikana, so zinaweza kuelezea zaidi watu waliopiga kura kuliko waliopigiwa kura!!
Hivi mkuu unaelewa maana ya IQ au unajaribu kuzungusha lugha tu hapo?! Eti IQ inaongezwa na experience!!?
Tuone aibu wakati mwingine jamani!!