smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,537
- 11,869
- Thread starter
- #81
huwa namfananisha jpm na visa nilivyoviona kwenye movie moja iliyomuhusu mtawala wa zamani aliyefamika kama alexander the great.Najaribu Ku figure out ile roho ya magu sio ya dunia hii.
Hivi hakuwa Lucifer.
katika ile movie alexander the great anaonekana ni mtawala mwenye nguvu nyingi, jeuri, kiburi na katili akiogopwa na watu wake na wafalme wa tawala zingine.
mwisho wa siku ikaja kubainika kumbe yule ambaye kibinadamu anaonekana ni alexander hakuwa yeye bali ni lucifer yeye mwenyewe aliyeamua kuja duniani ku-posses mwili wa alexander ili iwe rahisi kukamilisha mission zake za kuivuruga dunia.
spiritually inawezekana roho ya jpm ilikuwa possessed na lucifer amtumie kuivuruga tanzania. Mungu akaona bora aingilie kati mapema kuepusha madhara makubwa ambayo yangekuja kutokea siku za usoni.
Sent using Jamii Forums mobile app