kama muweka syllabus unafikiri hivo..no wonder kuwa na elimu ya kijuha kiasi hiki..Mimi na wewe nani wa kukariri..huna uwezo wa kuniandalia Mimi syllabusnafikiri kwa ambacho kinafikiri nafikiri halafu shule nisehemu ambapo watu kama sisi tumeumiza vichwa kugundua na kuwawekeeni sylabus nyinyi mnao kariri muwe sehemu salama ya maarifa period
kama muweka syllabus unafikiri hivo..no wonder kuwa na elimu ya kijuha kiasi hiki..Mimi na wewe nani wa kukariri..huna uwezo wa kuniandalia Mimi syllabus
OK..pata maji baridi..hoja umeishiwa..doneulitaka nifikiri vipi?unaweza thibitisha elimu ya kijuha?haya maandishi unayoyaandika humu unayajua au umekariri?sina uwezo wa kukuandalia maana nauwezo wa kujua yupi hawezi kuhandle hiyo syllabus period
OK..pata maji baridi..hoja umeishiwa..done
Viongozi wa dini gani?Hakuna Mungu aluyekataza ngono.
Hili ni swala la viongozi wa kidini zamani ili kuwaogopesha watu tu.
binadam kadevelope intelligence kivipi hata wanyama wengine washindwe?!..kumkana mungu shart ujitie wazimu kwanza
Buibui amedevelop vipi uwezo wa kutengeneza sumu hadi wewe ushindwe? Imani yako inakupunguzia uwezo wa kufikiri. Na wapi mungu kakanwa?
yote haya ni mambo ya dhahania,hakuna atakayekupa jibu sahihi,si vizuri pia kujadili mambo yanayohusiana na neno mumngu moja kwa moja. Kama hakuna jibu sahihi kuhusu uwepo wa mungu basi hakuna jibu sahihi kuhusu ngono dhambi au si dhambi. Ila wasikilize binadamu,mimi nasema mambo ya dhahania hayana specific answers
kila kitu kimeumbwa kama kilivyo,hakuna evolution ya kutoka sokwe hadi kuwa mwanamuzik wa kufokafoka
Kuna ubaya gani kujadili mambo yanayohusiana na neno la huyo Mungu moja kwa moja?
Cc aretasludovick, Bennie 369
Mkuu hebu nipe mfano wa vitu vilivyoumbwa ili nami nivijue
naongea na mtoto wa umri gan?!
naongea na mtoto wa umri gan?!
Huyo amepandikizwa uoga tangu anakua ndio maana anaongea kwa hisia.
Kuhusu hili la ngono, mimi naona ni swala la mtu mwenyewe atakavyojiamulia.
Maana madhara ya ngono yanajulikana. Hivyo kwa kuendekeza kwake ngono, kutamhusu yeye na sii mwingine.
Maswala ya dhambi yalitafsiriwa vibaya na yanaendelea kutafsiriwa vibaya hadi sasa. Na hii ni kwa sababu watu hawataki kuambiwa ukweli/wanapenda kuwa watumwa badala ya kuweka akili zao huru.
Huyo amepandikizwa uoga tangu anakua ndio maana anaongea kwa hisia.
Kuhusu hili la ngono, mimi naona ni swala la mtu mwenyewe atakavyojiamulia.
Maana madhara ya ngono yanajulikana. Hivyo kwa kuendekeza kwake ngono, kutamhusu yeye na sii mwingine.
Maswala ya dhambi yalitafsiriwa vibaya na yanaendelea kutafsiriwa vibaya hadi sasa. Na hii ni kwa sababu watu hawataki kuambiwa ukweli/wanapenda kuwa watumwa badala ya kuweka akili zao huru.