Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,106
- 1,265
Wehu ndioila CDM wanapenda kuongea kwa sauti kali ya juu yaani kama wehu!!!!
Wehu ndioila CDM wanapenda kuongea kwa sauti kali ya juu yaani kama wehu!!!!
Still CCM itabaki kuwa CCMbado huja jibu swali langu...
ukiondoa Malupulupu, dola, na janja janja zote mlizo nazo,
ccm itapatikana wapi..?
Swali gani?
CCM haitegemei polisi wala dola, Kivuli chenu kinawatisha tu
Still CCM itabaki kuwa CCM
Mbona nasikia Kahama mlipata Digital members 60 nini kilitokea?hahaha seriously,
sawa naona umekwepa jibu sahihi.
Mnacho kipoteza ccm kwa sasa, ndicho wanacho ongezewa chadema kwa sasa.
ndomana, kwa mtazamo wako waona chadema imepotea,
wenzako washaona speed ya cdm, nawanatumia nguvu nyingi sana kuirudisha nyuma.
kadiri mnavyozima kwa nguvu ndo inazidi kuwaka.
God bless 🌍
God bless 🇹🇿
God bless wapinzani wote wenye kweli mioyoni mwao...
nyie ndio mlitakiwa kumwagwa kwenye povu la mkononi, mkaoshwa choonihahaha seriously,
sawa naona umekwepa jibu sahihi.
Mnacho kipoteza ccm kwa sasa, ndicho wanacho ongezewa chadema kwa sasa.
ndomana, kwa mtazamo wako waona chadema imepotea,
wenzako washaona speed ya cdm, nawanatumia nguvu nyingi sana kuirudisha nyuma.
kadiri mnavyozima kwa nguvu ndo inazidi kuwaka.
God bless 🌍
God bless 🇹🇿
God bless wapinzani wote wenye kweli mioyoni mwao...
Mbona nasikia Kahama mlipata Digital members 60 nini kilitokea?
Wanaowapenda wamehama Kahama?
nyie ndio mlitakiwa kumwagwa kwenye povu la mkononi, mkaoshwa chooni
yaani na akili zako unaona chadema iko active???
Kipindi najiunga humu kuwa miongoni ma wanajamii forum nilikuta ndo sehemu pekee watu wanajadili mambo kwa uwaziWewe ni muongo, Kituo kilikuwa kimoja tu
Zaidi ya hoja kama hizi Chadema hakuna zingine.Nimemuona mkeo anaingia gest muda huu
We komaa na mbowe huku watu wanakula mali yako.
100%100%CHADEMA kwisha kabisa in Limpumba's voice
Huwezi kuiua ila unaweza kuihamisha,Ni ngumu sana kuuwa Imani ya mtu,wataalam wanasema usiongee Jambo kama hujalifanyia utafiti.ccm ili tukae sawa tunahitaji kupata uwanja sawa wakisiasa na vyama pinzani ilitujipime.tofauti na hapo tunajichimbia Kaburi kwa mikono yetu wenyewe.ili uwe mshindi lazima ushindane
Kwisha kabisa CHADEMAKawaulize kwanza Polisi
Wanaogopwa kwasababu ni wahuni na magaidi wanaweza kuvuruga amani
Unapo muhamisha kambale kutoka mto mmoja kwenda mwingine atabaki kuwa kambale tu.wala hawrzi geuka sato au sangaraHuwezi kuiua ila unaweza kuihamisha,
KAZIIENDELEE
CHADEMA kwisha kabisaUnapo muhamisha kambale kutoka mto mmoja kwenda mwingine atabaki kuwa kambale tu.wala hawrzi geuka sato au sangara
Prophet of doom katika ubora wako!
Nasubiri uharo wa part 2
Prophet of doom katika ubora wako!
Nasubiri uharo wa part 2
Huo ndio ukweli mengine ni unafiki na fitina fulistopMleta mada wahusika wa kuinyonga Chadema sio wananchi kama unavyojaribu kutuaminisha BALI dola. Na hili sio kwa Chadema pekee, kila chama kilichojaribu kutoa upinzani mkali kwa CCM kilipitia ukandamizaji kutoka vyombo vya dooa...NCCR, CUF na Chadema. Nakukumbusha kuwa ni Wakurugenzi wa Halmashauri ambao mwendazake aliwaonya hadharani kuwa wasithubutu kumtangaza mpinzani kushinda....
Angalia kazi za Sabaya, Makonda and the like, wapinzani wanawezaje kushinda? Angalia jinsi Wakurugenzi wa Halmashauri walivyokuwa wanatoweka maofisini siku wapinzani wanarejesha fomu za kugombea hadi inatokea mgombea wa CCM anapita bila kupingwa, hapo wananchi wanahusikaje? Nina mengi sana ya kusema lkn nimegundua wewe sio mwanademokrasia hali mdau wa watawala na chama tawala.
Maana yake ni kuwa kwa mfumo wetu wa utawala hakuna chama cha upinzani kinachoweza kutwaa dola.
Vv
100%100%100%
CHADEMA kwisha kaziAmani iwe nanyi wana JF,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kijenotyipia ( ki-mtazamo wa ndani ) kimeshakufa kibudu ila kifenotyipia ( ki-mtazamo wa nje ) bado kinaishi hali hii ilishawahi kuvikumba vyama vya National Convention for Constitutional Reform ( NCCR -Mageuzi ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 na baadae Chama cha Civic United Front ( CUF ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mpaka naandika makala hii kamwe si NCCR -Mageuzi wala CUF iliyowahi kuinuka baada ya kufa kijenotyipia,
===
Chadema mara baada ya kubadili malengo yake kutoka kuwa chama cha kusimamia masilahi ya wananchi mpaka Chama cha kutafutia nafuu ya maisha kwa viongozi wake wa juu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kikongwe nchini chenye zaidi ya miaka thelathini ( 30 ) sasa,
===
Vyama vyote hivi tangu NCCR -Mageuzi,CUF na sasa Chadema sababu ya vifo vyao ni ileile ya mgawanyo usio sawia wa keki za Chama wala sio ccm-tanzania kama wanavyowaaminisha wananchi na Ushahidi mkubwa ni huu vyama vyote vitatu pamoja na kupata mabilioni ya Shilingi toka kwenye ruzuku na michango mbalimbali ya wanachama na wahisani bado havijawahi kuwa na mali zao zisizohamishika ( mfano, ofisi za kisasa za Chama ) kuonesha kuwa maisha ya vyama hivyo si ya muda mrefu ( temporary Polical Parties )
===
Unapoona Halima Mdee na wenzake 18 wanakimbilia keki ya Chama kwa mbio kali kumzidi Freeman Mbowe au John Heche ni ushahidi mwingine kuwa Chadema ilishaondoka kuwa chama aminiwa kwa masilahi ya Watanzania mpaka Chama cha kucheza kidali Poo kwenye fursa na pesa,
===
Zoezi la " Chadema Digital " limewadhihirishia pasina kuacha shaka Viongozi na Wanachama kuwa Chama chao kimeshakufa rasmi reffence is made to Shinyanga -Kahama and Msalala wanachama waliosajiliwa kidijitali kwa majimbo yote mawili hawakufikia wanachama miambili ( 200 ), Watanzania ni watu makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria,
===
....Nisiwachoshe nitaendelea kidogo kidogo mpaka Part 10...... ila kwa hatua ya Sasa wanaotaka siasa au nafasi za kisiasa kama Ubunge|Udiwani au Uenyekit wa vijiji,mitaa na vitongoji waende CCM-Tanzania ndio chama kinachoweza kulea vipaji na vipawa vya mwanasiasa yeyote awaye,
View attachment 2003106