Kwanini ndoto ya CHADEMA ya muda mrefu ya kushika dola wananchi wameinyonga mpaka kufa (Part 1)

Amani iwe nanyi wana JF,


Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kijenotyipia ( ki-mtazamo wa ndani ) kimeshakufa kibudu ila kifenotyipia ( ki-mtazamo wa nje ) bado kinaishi hali hii ilishawahi kuvikumba vyama vya National Convention for Constitutional Reform ( NCCR -Mageuzi ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 na baadae Chama cha Civic United Front ( CUF ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mpaka naandika makala hii kamwe si NCCR -Mageuzi wala CUF iliyowahi kuinuka baada ya kufa kijenotyipia,
===
Chadema mara baada ya kubadili malengo yake kutoka kuwa chama cha kusimamia masilahi ya wananchi mpaka Chama cha kutafutia nafuu ya maisha kwa viongozi wake wa juu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kikongwe nchini chenye zaidi ya miaka thelathini ( 30 ) sasa,
===
Vyama vyote hivi tangu NCCR -Mageuzi,CUF na sasa Chadema sababu ya vifo vyao ni ileile ya mgawanyo usio sawia wa keki za Chama wala sio ccm-tanzania kama wanavyowaaminisha wananchi na Ushahidi mkubwa ni huu vyama vyote vitatu pamoja na kupata mabilioni ya Shilingi toka kwenye ruzuku na michango mbalimbali ya wanachama na wahisani bado havijawahi kuwa na mali zao zisizohamishika ( mfano, ofisi za kisasa za Chama ) kuonesha kuwa maisha ya vyama hivyo si ya muda mrefu ( temporary Polical Parties )
===
Unapoona Halima Mdee na wenzake 18 wanakimbilia keki ya Chama kwa mbio kali kumzidi Freeman Mbowe au John Heche ni ushahidi mwingine kuwa Chadema ilishaondoka kuwa chama aminiwa kwa masilahi ya Watanzania mpaka Chama cha kucheza kidali Poo kwenye fursa na pesa,
===
Zoezi la " Chadema Digital " limewadhihirishia pasina kuacha shaka Viongozi na Wanachama kuwa Chama chao kimeshakufa rasmi reffence is made to Shinyanga -Kahama and Msalala wanachama waliosajiliwa kidijitali kwa majimbo yote mawili hawakufikia wanachama miambili ( 200 ), Watanzania ni watu makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria,
===
....Nisiwachoshe nitaendelea kidogo kidogo mpaka Part 10...... ila kwa hatua ya Sasa wanaotaka siasa au nafasi za kisiasa kama Ubunge|Udiwani au Uenyekit wa vijiji,mitaa na vitongoji waende CCM-Tanzania ndio chama kinachoweza kulea vipaji na vipawa vya mwanasiasa yeyote awaye,

View attachment 2003106
CHADEMA KWISHAAAA
 
Amani iwe nanyi wana JF,


Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kijenotyipia ( ki-mtazamo wa ndani ) kimeshakufa kibudu ila kifenotyipia ( ki-mtazamo wa nje ) bado kinaishi hali hii ilishawahi kuvikumba vyama vya National Convention for Constitutional Reform ( NCCR -Mageuzi ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 na baadae Chama cha Civic United Front ( CUF ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mpaka naandika makala hii kamwe si NCCR -Mageuzi wala CUF iliyowahi kuinuka baada ya kufa kijenotyipia,
===
Chadema mara baada ya kubadili malengo yake kutoka kuwa chama cha kusimamia masilahi ya wananchi mpaka Chama cha kutafutia nafuu ya maisha kwa viongozi wake wa juu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kikongwe nchini chenye zaidi ya miaka thelathini ( 30 ) sasa,
===
Vyama vyote hivi tangu NCCR -Mageuzi,CUF na sasa Chadema sababu ya vifo vyao ni ileile ya mgawanyo usio sawia wa keki za Chama wala sio ccm-tanzania kama wanavyowaaminisha wananchi na Ushahidi mkubwa ni huu vyama vyote vitatu pamoja na kupata mabilioni ya Shilingi toka kwenye ruzuku na michango mbalimbali ya wanachama na wahisani bado havijawahi kuwa na mali zao zisizohamishika ( mfano, ofisi za kisasa za Chama ) kuonesha kuwa maisha ya vyama hivyo si ya muda mrefu ( temporary Polical Parties )
===
Unapoona Halima Mdee na wenzake 18 wanakimbilia keki ya Chama kwa mbio kali kumzidi Freeman Mbowe au John Heche ni ushahidi mwingine kuwa Chadema ilishaondoka kuwa chama aminiwa kwa masilahi ya Watanzania mpaka Chama cha kucheza kidali Poo kwenye fursa na pesa,
===
Zoezi la " Chadema Digital " limewadhihirishia pasina kuacha shaka Viongozi na Wanachama kuwa Chama chao kimeshakufa rasmi reffence is made to Shinyanga -Kahama and Msalala wanachama waliosajiliwa kidijitali kwa majimbo yote mawili hawakufikia wanachama miambili ( 200 ), Watanzania ni watu makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria,
===
....Nisiwachoshe nitaendelea kidogo kidogo mpaka Part 10...... ila kwa hatua ya Sasa wanaotaka siasa au nafasi za kisiasa kama Ubunge|Udiwani au Uenyekit wa vijiji,mitaa na vitongoji waende CCM-Tanzania ndio chama kinachoweza kulea vipaji na vipawa vya mwanasiasa yeyote awaye,

View attachment 2003106
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Amani iwe nanyi wana JF,


Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kijenotyipia ( ki-mtazamo wa ndani ) kimeshakufa kibudu ila kifenotyipia ( ki-mtazamo wa nje ) bado kinaishi hali hii ilishawahi kuvikumba vyama vya National Convention for Constitutional Reform ( NCCR -Mageuzi ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 na baadae Chama cha Civic United Front ( CUF ) baada ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mpaka naandika makala hii kamwe si NCCR -Mageuzi wala CUF iliyowahi kuinuka baada ya kufa kijenotyipia,
===
Chadema mara baada ya kubadili malengo yake kutoka kuwa chama cha kusimamia masilahi ya wananchi mpaka Chama cha kutafutia nafuu ya maisha kwa viongozi wake wa juu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kikongwe nchini chenye zaidi ya miaka thelathini ( 30 ) sasa,
===
Vyama vyote hivi tangu NCCR -Mageuzi,CUF na sasa Chadema sababu ya vifo vyao ni ileile ya mgawanyo usio sawia wa keki za Chama wala sio ccm-tanzania kama wanavyowaaminisha wananchi na Ushahidi mkubwa ni huu vyama vyote vitatu pamoja na kupata mabilioni ya Shilingi toka kwenye ruzuku na michango mbalimbali ya wanachama na wahisani bado havijawahi kuwa na mali zao zisizohamishika ( mfano, ofisi za kisasa za Chama ) kuonesha kuwa maisha ya vyama hivyo si ya muda mrefu ( temporary Polical Parties )
===
Unapoona Halima Mdee na wenzake 18 wanakimbilia keki ya Chama kwa mbio kali kumzidi Freeman Mbowe au John Heche ni ushahidi mwingine kuwa Chadema ilishaondoka kuwa chama aminiwa kwa masilahi ya Watanzania mpaka Chama cha kucheza kidali Poo kwenye fursa na pesa,
===
Zoezi la " Chadema Digital " limewadhihirishia pasina kuacha shaka Viongozi na Wanachama kuwa Chama chao kimeshakufa rasmi reffence is made to Shinyanga -Kahama and Msalala wanachama waliosajiliwa kidijitali kwa majimbo yote mawili hawakufikia wanachama miambili ( 200 ), Watanzania ni watu makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria,
===
....Nisiwachoshe nitaendelea kidogo kidogo mpaka Part 10...... ila kwa hatua ya Sasa wanaotaka siasa au nafasi za kisiasa kama Ubunge|Udiwani au Uenyekit wa vijiji,mitaa na vitongoji waende CCM-Tanzania ndio chama kinachoweza kulea vipaji na vipawa vya mwanasiasa yeyote awaye,

View attachment 2003106
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Na wanavyoendelea kupambana na hayati Magufuli ndio wanazidi kujimaliza kabisa

Mi sio Chadema ila sikuungi mkono kwa Magufuli magufuli aka Jiwe alikua kiongozi wa hovyo kuwai kutokea na jiwe alikua maana harisi ya dikteta

Raisi unakaa madalakan miaka 5 hulipi watu wasitaafu mafao yao
Ulipi mishahara wala kuongeza mishahara wakat uwo unapandisha bei za bidhaa

Leo tunalia uchumi mbovu aliechangia na sababu kubwa ya uchumi mbaya wa sasa mi Magufuri Raisi samia ana miez 6 tu atuwezi maingizia yeye alieharibu mfumo mzima wa maisha na uchumi wa Tanzania ni magufuli

Ndan ya miaka yake mitano biashara nying zimekufa ambazo zlikua zinachangia mapato makubwa anabaki kukomaa na Takataka machina kisa kutafta sifa za kijinga
Alitaka kuifanya chato kua Dar es salaam
Apalekeka ikulu ingne chato watu wakawa wanaenda kuapa viapo vyao chato

Magufuri ni Raisi wa hovyo kuwaikutokea ktk hiatoria ya Tanzania na na iman CCM ilo waliliona na naimani hawatokuja kurudia kuweka kiongozi wa hovyo km uyo aliejificha kwenye kivuli cha uzalendo wakat aniba mali za watanzania na kwenda kuwekeza kwao chato
 
Chadema haiwez kufa na bado chadema ni tishio kwa CCm na nazan itakua tishio zaidi pale gaidi mbowe atakapofungwa
Ila km ikitokea mbowe kashinda bas chadema inaenda kufa tena kifo kibaya
 
Niseme tu kifupi kwamba mnaodhani CDM ni mpango wa muda mfupi mtakufa ninyi na kukiacha Chama kikimea. Hakuna aliyekuwa kwenye nafasi nzuri ya kuiua CDM kama JPM. Aliapa wazi wazi. Je unajua alipoishia huyu mtu?

Mmakosea sana kujidanya kua nyie mlichangia kifo cha Jiwe yan huo ni ujinga na haiwasaidii ata kdg , Jiwe alikufa ila chadema hamkuchangia chochote na wala hakuna maobi yyte mliomba ni siasa za kishamba mnazotaka kuziendekeza
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
Au Rais wa Afrika nzima nadhani mabeberu wangetukoma kabisa. Na angechukua vijana wachapakazi na wasomi kama huyu aliye naye wawe watu wa karibu kumshauri

20211220_000610.jpg
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Back
Top Bottom