Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,669
- 4,920
Ukitizama siku hizi wanaofunga Ndoa ni wazee au vijana ambao tayari washazalishana.
Kwanini ni nadra sana kuona Ndoa za vijana barubaru wenye miaka 24 hadi 32 ambao hawajazaa wala hawana watoto nje. Miaka ya babu zetu tulikuwa tunaona sana Kijana akienda kuchumbia mwali, huko wote wakiwa hawana uzoefu mkubwa wa mahusiano na hawana watoto lakini siku hizi nadra sana, vijana wanazalishana tu...
Tena mabinti wako tayari kubeba mimba za wanaume ambao tayari wapo kwenye ndoa eti kisa tu mwanaume huyo ana Pesa. Na baadhi ya wazazi wamekuwa wakisapoti watoto wao kuzaa na waume za watu.
Vijana barubaru nao wamekuwa wakipokonywa mademu zao na sponsors. Hence kupelekea vijana nao kukata tamaa kuoa, wanazalisha wanakimbia.
Vijana na Mabinti wote hawaeleweki, mabinti wamechagua kuwa Single mothers, huku wakifanya umalaya wa chini chini kusapoti watoto wao wakitumia kigezo cha superwoman.
Kwanini ni nadra sana kuona Ndoa za vijana barubaru wenye miaka 24 hadi 32 ambao hawajazaa wala hawana watoto nje. Miaka ya babu zetu tulikuwa tunaona sana Kijana akienda kuchumbia mwali, huko wote wakiwa hawana uzoefu mkubwa wa mahusiano na hawana watoto lakini siku hizi nadra sana, vijana wanazalishana tu...
Tena mabinti wako tayari kubeba mimba za wanaume ambao tayari wapo kwenye ndoa eti kisa tu mwanaume huyo ana Pesa. Na baadhi ya wazazi wamekuwa wakisapoti watoto wao kuzaa na waume za watu.
Vijana barubaru nao wamekuwa wakipokonywa mademu zao na sponsors. Hence kupelekea vijana nao kukata tamaa kuoa, wanazalisha wanakimbia.
Vijana na Mabinti wote hawaeleweki, mabinti wamechagua kuwa Single mothers, huku wakifanya umalaya wa chini chini kusapoti watoto wao wakitumia kigezo cha superwoman.