Kwanini Nchimbi hakushiriki mapokezi ya Rais Samia akitokea Ethiopia?

Kwanini Nchimbi hakushiriki mapokezi ya Rais Samia akitokea Ethiopia?

Joined
Jan 30, 2023
Posts
74
Reaction score
79
Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?
 
Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?
Alikuwa na majukumu mengine may be!
Kuna speculation kuwa hawaivi na samia. Sidhani kama hiyo ni kweli...... Nchimbi hana ubavu wa kuwa na bifu na samia...atapotezwa kama Polepole!
 
Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?
Rais? Kwa uchaguzi gani? Makamu! Kwa uchaguzi gani?
 
Kwenye Katiba kimeandikwa hicho kitu? Kama hakijaandikwa hizi ndo Rubbish zenyewe😂😂😂
 
Kwahy mnataka ofisi zote zifungwe kwa ajiri ya kumpokea mtu mmoja ty ila watanzania
 
Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?
That’s a stupid chawacratic custom!

Here’s how things work in the free world:
  • Arrival Protocol: When the President returns to Joint Base Andrews, he is usually greeted by military commanders from the 89th Airlift Wing (such as the wing commander) and sometimes senior White House staff.
  • Exceptions: The Vice President may be present to greet the President if the arrival coincides with a joint meeting, a joint event, or if they are traveling together, such as in the case of a trip to Georgia in 2021.
  • Other Duties: Often, when the President returns, the Vice President may be elsewhere working on separate, scheduled events, rather than at the tarmac for an arrival ceremony.
In short, while it can happen, it is more often military personnel, not the Vice President, who greet the President at the plane.
 
Ni jambo la kawaida Rais anapotoka nje ya nchi wakati wa kuondoka anasindikizwa na Makamu wa Rais na anaporejea anapokelewa na Makamu wa Rais mbona kwa Nchimbi inakuwa tofauti shida ni nini? au mimi sijaangalia vizuri ya Rais akiwasili nchini kutoka Ethiopia?

Unless Nchimbi naye akapige KAMBI KITUNGUU au Kizimkazi.
 
Back
Top Bottom