Kwanini nchi za kiarabu haziendelei licha ya kuwa na rasilimali nyingi kama mafuta na gesi?

Kwanini nchi za kiarabu haziendelei licha ya kuwa na rasilimali nyingi kama mafuta na gesi?
Changanya Changanya Changanya Changanya Mchanganyo, Yesu hapendi Mchanganyo.

Mambo ya lavalava kidogo, mambo ya Waarabu kidogo, Changanya mchanganyo Yesu hapendi mchanganyo.

Nimeukumbuka wimbo huo, niliimba sana nikiwa kijana barobaro wa Yesu.

Wewe juu umetuandikia jina lako. Katikati unatuletea mambo ya Waarabu. Hovyo kabisa, wewe unafaa kuzungumzia mambo ya lavalava.

Turudi kwenye Mada kuu,
Nchi za Kiarabu ndizo kwa sasa zina misuli ya fedha. Ndizo haswa zinapata maendeleo ya kutosha katika karne hii ya 21.

Umoja wa Falme za Kiarabu ikihusisha Dubai na nchi nyinginezo kama Qatar zina maendeleo ya kutosha. Kampuni zao zinatengeneza faida maradufu. Saudia inapiga hatua sana kila leo.

Huku kwetu Africa, Misri, Algeria na Tunisia zinasonga mbele kweli kweli.
 
Changanya Changanya Changanya Changanya Mchanganyo, Yesu hapendi Mchanganyo.

Mambo ya lavalava kidogo, mambo ya Waarabu kidogo, Changanya mchanganyo Yesu hapendi mchanganyo...

Siongelei kulinganisha na Afrika na ongelea kuwalinganisha na wazingu pamoja na washina ambao licha ya kuwa na rasilimali chache wanamaendeleo mno tofauti na waarabu
 
Changanya Changanya Changanya Changanya Mchanganyo, Yesu hapendi Mchanganyo.

Mambo ya lavalava kidogo, mambo ya Waarabu kidogo, Changanya mchanganyo Yesu hapendi mchanganyo.

Nimeukumbuka wimbo huo, niliimba sana nikiwa kijana barobaro wa Yesu.

Wewe juu umetuandikia jina lako. Katikati unatuletea mambo ya Waarabu. Hovyo kabisa, wewe unafaa kuzungumzia mambo ya lavalava.

Turudi kwenye Mada kuu,
Nchi za Kiarabu ndizo kwa sasa zina misuli ya fedha. Ndizo haswa zinapata maendeleo ya kutosha katika karne hii ya 21.

Umoja wa Falme za Kiarabu ikihusisha Dubai na nchi nyinginezo kama Qatar zina maendeleo ya kutosha. Kampuni zao zinatengeneza faida maradufu. Saudia inapiga hatua sana kila leo.

Huku kwetu Africa, Misri, Algeria na Tunisia zinasonga mbele kweli kweli.

Nchi za kiarabu ni nchi zinazoendelea. Waarabu wana liquidity kubwa ya pesa (Rich) but not Wealthy.

Ni consumption pattern Yao inawafanya waonekane Rich, but sio Wealthy Kama USA, China, Germany
 
Nchi za kiarabu ni nchi zinazoendelea. Waarabu wana liquidity kubwa ya pesa (Rich) but not Wealthy.

Ni consumption pattern Yao inawafanya waonekane Rich, but sio Wealthy Kama USA, China, Germany
Tofauti apo ni ipi nipe elimu kidogo ya rich na wealthy
 
Kwanini nchi za kiarabu haziendelei licha ya kuwa na rasilimali nyingi kama mafuta na gesi?
Mkuu upo mzima kichwani? Kuna nchi ya kushindana na nchi za kiarabu kwa sasa kwa hela na maendeleo, unajua emirates , qatar na etihad ndio leading airlines duniani?kuna kombe la dunia lililoweza kufikia viwango vya qatar kwenye world cup? Infantino na waandishi wengi maarufu walibeza ila mwisho wa siku wakasema ni best world cup ever ,so far waarabu wapo mbali sana , unajua kushindana na makampuni ya kwanza duniani kama british air ways na kuyashinda kwa kuwa na route nyingi uingereza na duniani unadhani ni kitu kidogo
 
Tofauti apo ni ipi nipe elimu kidogo ya rich na wealthy
rich una pesa lakini hujajitosheleza yaani unakuwa na pesa lakini huna vitu vingine vinavyofanya uwe tajiri na unajitosheleza, hii inakufanya uwe ni tajiri lakini bado NI tegemezi. lakini kuwa wealth maana yake ni zaidi ya rich, yaani umekuwa rich na ukawa na vitu vingine vingi zaidi yaani umejitosheleza kwa kila Kona , hivyo unakuwa ni tajiri uliyejidhatiti kila idara. shortly it's simple to be rich , bt not wealth .
 
rich una pesa lakini hujajitosheleza yaani unakuwa na pesa lakini huna vitu vingine vinavyofanya uwe tajiri na unajitosheleza, hii inakufanya uwe ni tajiri lakini bado NI tegemezi. lakini kuwa wealth maana yake ni zaidi ya rich, yaani umekuwa rich na ukawa na vitu vingine vingi zaidi yaani umejitosheleza kwa kila Kona , hivyo unakuwa ni tajiri uliyejidhatiti kila idara. shortly it's simple to be rich , bt not wealth .
Kwa mujibu wa tafsir yako hakuna nchi wala mtu mwenye sifa za kuwa ni "wealthy"
 
Nayo laana ilijaa juu ya nchi ,, kila walipokanyaga, kila walipokwenda kuligeuka jangwa

Kutoka:#:#
Sio nyie mnaokimbilia dubai na nchi kutafuta kazi kila siku sema midomo mirefu huku mifukoni hakuna kitu, huyo richest athlete christiano ronaldo yupo uarabuni na wenzake maarufu halafu mpumbavu mmoja kutoka nyamongo anasema hawajaendelea
 
Kwanini nchi za kiarabu haziendelei licha ya kuwa na rasilimali nyingi kama mafuta na gesi?
Chanzo ni unafiki na kuchukiana wenyewe kwa wenyewe. Waarab ni wanafiki sana na ndiyo maana Wamarekani wanawachezea sana akili huku Waisrael wakiwanyanyasa na kuwafanya lolote lile walitakalo wakijuwa kuwa hawana lolote ni kelele tu na ugaidi.
 
Chanzo ni unafiki na kuchukiana wenyewe kwa wenyewe. Waarab ni wanafiki sana na ndiyo maana Wamarekani wanawachezea sana akili huku Waisrael wakiwanyanyasa na kuwafanya lolote lile walitakalo wakijuwa kuwa hawana lolote ni kelele tu na ugaidi.
Hamna mnachojua zaidi ya kuangalia tv brainwashed kids
 
4F551BB4-CC29-4132-9C60-D8720ABE7E18.jpeg

Unaongelea waarabu gani, wa kkoo au?
 
Hapa Tanzania tuna mafuta , gesi , coal , Tanzanite, Gold , Diamond , mbuga wanyama , bahari kuu na ardhi kubwa ya kutosha lakini mbona hatuendelei kufikia nchi za ulaya na marekani?
 
Back
Top Bottom