Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari
Mkuu naona sasa wewe ndiyo unanivuruga kabisa ,Ina maana kina Amstrong mwezini ilikuwa changa la machoKaka ile ilikuwa ni uongo, kuna documentary moja ya BBC uingereza ilionesha facts jinsi isivyokuwa kweli. Ile walioonesha waliiandaa marekani na eneo walofanyia hiyo movie ni sealed hakuna ruksa kuingia
Nani amewahi kwenda makumbusho ya Taifa
Opposite na Chuo cha IFM?
Kuna mawe yalitolewa na Serikali ya Marekani kwa Tz
Nani amebahatika kuyaona?
Je ulisoma na maelezo yake?
Hakuna haja ya kurudi mwezini kisayansi, hivyo hakuna sababu ya kuhatarisha maisha ya watu. NASA walitua mwezini mara 6 kati ya 1969 na 1972.
mada tamu.cna maujuz 2 halo na NASA waongo.wangefany Waiclamu Ivo Mngeckia Maneno Yao.chuki Tu.
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze tafadhari
Baada ya kwenda waliambiwa "don't ever come back, or else your country will be in trouble"
Ingia YouTube kuna clips kibao za documentaries kwamba ni uongo uliopikwa vizuri miaka hiyo, hakuna aliyewahi kufika mwezini, watakuonesha hata ufeki wa zile video za NASA
Kwa facts zilizokuwepo, hata hiyo mara moja, nasa hawakwenda mwezini.
Hakuna watu nisiowapenda kama wanaokataa NASA kwenda mwezini, conspiracy theorists hawafundishiki! Hizo sio facts ni speculation zisizo na msingi, kama unataka angalia kipindi cha Myth Busters kuna episode ya kujibu hizo conspiracy za mwezini.