Maisha sio mashindano ya nani Yuko zaidi ya mwingine vinginevyo Dunia isingekuwa na mapadre katoliki Tena waliosoma hasaIla Kusoma sana na kuwa Masikini hadi kupitwa Kimaisha na Kimaendeleo na Wasiosoma ndiyo kitu cha Kujivunia Kwako?
Maisha sio mashindano ya nani Yuko zaidi ya mwingine vinginevyo Dunia isingekuwa na mapadre katoliki Tena waliosoma hasaIla Kusoma sana na kuwa Masikini hadi kupitwa Kimaisha na Kimaendeleo na Wasiosoma ndiyo kitu cha Kujivunia Kwako?
Rubbish.Maisha sio mashindano ya nani Yuko zaidi ya mwingine vinginevyo Dunia isingekuwa na mapadre katoliki Tena waliosoma hasa
Tusi Hapo kweli?au unakisirani uwaite mods wanifunguie.Kwahiyo hujaona Tusi hapo?
Lakini jamaa anakamata pesa sana kupitia kufanya matangazo tena kila sikuHuyo dotto mqgari ana nyumba wapi hapo dar sie tunamjua bado kapanga tu usimpe vitu ambavyo hana kuwa na nyumbq dar unadhan mchezo
Shauri yako.....!!Tusi Hapo kweli?au unakisirani uwaite mods wanifunguie.
Degree moja tena sauti? Na wewe ni msomi? Ama kweli ...1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma
2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma
3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha
4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo
5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma
6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha
7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma
Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.
Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Soc
Duh! Nini wewee?!! 😡😡😡😡😡Duh!
Ingia kwenye maofisi alafu uwe nashida namfukoni huna kitu ndioutajua kama ujui!!Msomi- hawezi kuwa na dharau ikiwa kweli kasoma na kuelimika .
Why are you annoyed by my "Duh" comment ? I have seen this several times Mr Mongo.Duh! Nini wewee?!! 😡😡😡😡😡
Maana yake nini ndugu?Na Hapa Ipo...!
Wewe ni MPUMBAVÚ na kama umesoma basi hujaelimika.Nina allergy kujibu Maswali ya Kijuha yatokayo kwa Juha sawa?
Elimu, utajiri,hauondoi ubinadamu, unaweza ukawa maskini na ukawa na dharau kibao!1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma
2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma
3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha
4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo
5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma
6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha
7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma
Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.
Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.
Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Ni kweli msomi?Huyo dotto mqgari ana nyumba wapi hapo dar sie tunamjua bado kapanga tu usimpe vitu ambavyo hana kuwa na nyumbq dar unadhan mchezo
Maamae adriz mtu wangu wa nguvu unatema yai balaa.Why are you annoyed by my "Duh" comment ? I have seen this several times Mr Mongo.
Sasa doto magari ana nini cha maana anachomiliki?1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma
2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma
3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha
4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo
5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma
6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha
7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma
Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.
Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.
Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Hakuna msomi aliyesoma SAUT nyegezi acha uongo1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma
2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma
3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha
4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo
5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma
6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha
7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma
Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.
Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.
Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Kwangu Mimi hiyo Degree Moja tu ya SAUT najivunia nayo na ndiyo maana niko Ikulu nchi fulani nikiwa kama VVIP na kila Siku nakuwa jirani na Mkuu wa nchi husika. Je, Wewe mwenzangu mwenye Masters Degree yako au hiyo PhD yako una lipi la maana la kukufanya Uheshimike na uwe VVIP nilivyo Mimi?Degree moja tena sauti? Na wewe ni msomi? Ama kweli ...