Kwanini nafurahishwa sana na nazikubali mno Nyodo na Dharau za Dotto Magari ambazo ni Chungu Kwetu Wasomi, Wabaguzi na wenye Dharau kwa Masikini?

Ila Kusoma sana na kuwa Masikini hadi kupitwa Kimaisha na Kimaendeleo na Wasiosoma ndiyo kitu cha Kujivunia Kwako?
Maisha sio mashindano ya nani Yuko zaidi ya mwingine vinginevyo Dunia isingekuwa na mapadre katoliki Tena waliosoma hasa
 
1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma

2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma

3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha

4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo

5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma

6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha

7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma

Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.

Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Soc
Degree moja tena sauti? Na wewe ni msomi? Ama kweli ...
 
Nina allergy kujibu Maswali ya Kijuha yatokayo kwa Juha sawa?
Wewe ni MPUMBAVÚ na kama umesoma basi hujaelimika.
Kimsingi wewe ndio wale watu mna mentality za kwamba kusoma sana ndio kuwa na hela ndio maana unaona ajabu asiyesoma kumzidi mafanikio aliyesoma

Floyd Mayweather Jr hata kusoma ni changamoto
Unamjua Simion Cowell
Richard Branson
List ya mabilioni wa dunia imejaa vilaza ambao ama hawakufika elimu ya juu au wali drop-out kwa sababu mbali mbali

Hakuna mwalimu mkuu yeyote wa secondary school anayefikia maisha ya Diamondpltnumz kimafanikio

Mafanikio ni jinsi utakavyo zichanga karata za maisha yako bila kujali elimu yako
 
1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma

2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma

3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha

4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo

5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma

6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha

7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma

Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.

Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.

Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Elimu, utajiri,hauondoi ubinadamu, unaweza ukawa maskini na ukawa na dharau kibao!
Hao, wasomi wasio na fedha unaowaponda,
Wapo hivyo sio kwa sababu elimu ni kikwazo cha kupata pesa, Bongo, hakuna fulsa za kutosha, kwenye nchi zenye mifumo Bora, kama USA, ukiwa msomi, ni mteremko tu! Elimu ndio kitu Bora duniani,
Wewe hapo unatumia cm janja, insta, wahatssp, unafikri zilitengenezwa, na vilaza wasio na elimu lakini wana fedha! Zimetengrnezwa na wasomi
 
Popoma kama kawaida yake alishapigwa ban ...nilijua tu kwa huu uzi hawezi kutoboa
 
1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma

2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma

3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha

4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo

5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma

6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha

7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma

Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.

Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.

Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Sasa doto magari ana nini cha maana anachomiliki?
 
1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma

2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma

3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha

4. Wasomi wengi tunaishi Maisha ya Kuigiza wakati kiuhalisia tuna Shida Milioni kidogo

5. Wasomi wengi tuna Roho Mbaya iwe Makazini au Majumbani na hatutaki Kusaiia wasiosoma

6. Wasomi wengi nje ya kupata Vidigrii, Vimasta na Vipihechidii vyetu tunajiona tumeshayapatia Maisha

7. Wasomi wengi licha ya Kusoma Kwetu ila bado tu Ushamba na Ulimbukeni kuliko hata wale Wasiosoma

Kama kuna Mtu ( mwana JamiiForums ) ambaye anavutiwa na Nyodo na Dharau zote azifanyazo Dotto Magari nadhani GENTAMYCINE ni namba moja. Kudadadeki acheni tu Jamaa atunyooshe Wasomi kwani ALIDHARAULIKA, ALITENGWA, ALITUKANWA, ALIFITINIWA, ALISINGIZIWA UWONGO ALICHUKIWA na hadi kuambiwa ATAKUFA MASIKINI ila leo kawazidi mbali mno Wote waliokuwa wakimfanyia haya Mambo.

Namalizia kwa kusema BINADAMU TUTAPANGIANA MAISHA ILA MWENYEZI MUNGU HAPANGIWI NA ANAMBARIKI YULE AMTAKAE MUDA NA WAKATI WOWOTE PASIPO KUANGALIA MADHAIFU YAKE AMBAYO WANADAMU WANAMUHUKUMU NAYO. Na sijui kwanini Mwenyezi Mungu HUWABARIKI PAKUBWA WALE AMBAO WANAONEKANA ni reject katika Society na Family.

Safi sana Dotto Magari endelea tu KUTUNYOOSHA Baba kwa NYODO zako Sisi Wasomi hadi Akili zetu zikae sawa sawa.
Hakuna msomi aliyesoma SAUT nyegezi acha uongo
 
Degree moja tena sauti? Na wewe ni msomi? Ama kweli ...
Kwangu Mimi hiyo Degree Moja tu ya SAUT najivunia nayo na ndiyo maana niko Ikulu nchi fulani nikiwa kama VVIP na kila Siku nakuwa jirani na Mkuu wa nchi husika. Je, Wewe mwenzangu mwenye Masters Degree yako au hiyo PhD yako una lipi la maana la kukufanya Uheshimike na uwe VVIP nilivyo Mimi?
 
Back
Top Bottom