FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
watu wana kazi sana ya kusumbua miili yao
MadameX nasikia eti manabii wa siku hizi wanapakwa mafuta ya KY Jelly
KakaJambazi kwanini umefikiria hivyo lakinHili kanisa litakua na wanaume wengi kuliko wanawake.
Njia panda ya KigogoWapi????????????
ni mzungu?
Ni mbantu aliyejiingiza katika maigizo ya kumtumikia Mungu ili akusanye sadaka.
Kila fani inageuka kuwa sanaa.
Tunamtisha shetani!
Njia panda ya Kigogo