Kwanini naamini Mbingu ipo , Mungu na Pia Shetani

Kwanini naamini Mbingu ipo , Mungu na Pia Shetani

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
38,520
Reaction score
48,834
Hapo kale,

Jamii nyingi walipenda mno Pombe, mpaka ikafikia mahali vitabu vya dini vikatamka wazi ahadi ya uwepo wa mito ya mvinyo huko Mbunguni.

Yesu pia aliwahi tengeneza divai katika harusi huko kana ya galilaya.

Kizazi cha sasa watu wanapenda mno kudinyana.

Ahadi inayotrend ni ya mabikra 72.

Sasa kama mbingu hakuna, kwanini ziwepo ahadi za aina mbali mbali, wahusika wanakusudia nini?

Mimi naamini kabisa mbingu ipo, Mungu yupo na shetani pia, kila mtu anajitahidi kuwin kundi lake.

Sasa wewe endelea kujidanganya uje kujikuta upande ambao hukutaka uwe.
 
87F4DC53-A54C-4E00-9416-8207F60840CD.jpeg
 
Sasa kama mbingu hakuna, kwanini ziwepo ahadi za aina mbali mbali, wahusika wanakusudia nini?
Ahadi hizo ni kwa ajili ya kushawishi watu kutenda matendo mema.

Kuhusu mtindo wa ahadi hizo, watu walizitunga kulingana na maisha ya wakati huo. Wakati huo pombe, dhahabu na wanawake vilikuwa anasa za juu kabisa.

Wangezitunga hivi sasa, tungesikia mbinguni unapewa v8, range rover na private jet.
 
Ahadi hizo ni kwa ajili ya kushawishi watu kutenda matendo mema.

Kuhusu mtindo wa ahadi hizo, watu walizitunga kulingana na maisha ya wakati huo. Wakati huo pombe, dhahabu na wanawake vilikuwa anasa za juu kabisa.

Wangezitunga hivi sasa, tungesikia mbinguni unapewa v8, range rover na private jet.
Kwani sasa hivi watu hawadinyani tena.

Hata kwa hiyo mifano bado ni proof kuwa mbingu ipo.
 
Hapo kale,

Jamii nyingi walipenda mno Pombe, mpaka ikafikia mahali vitabu vya dini vikatamka wazi ahadi ya uwepo wa mito ya mvinyo huko Mbunguni.

Yesu pia aliwahi tengeneza divai katika harusi huko kana ya galilaya.

Kizazi cha sasa watu wanapenda mno kudinyana.

Ahadi inayotrend ni ya mabikra 72.

Sasa kama mbingu hakuna, kwanini ziwepo ahadi za aina mbali mbali, wahusika wanakusudia nini?

Mimi naamini kabisa mbingu ipo, Mungu yupo na shetani pia, kila mtu anajitahidi kuwin kundi lake.

Sasa wewe endelea kujidanganya uje kujikuta upande ambao hukutaka uwe.
Unaamini kwa sababu unaamini au unaamini kwa sababu umeaminishwa?
 
Una aminishwa hivyo as a bait , hayo uliyo elezwa ni kama bait ya kumnasa binaadamu aingie katika mtego wa dini cause they believe hakuna binaadamu asiye penda anasa ndio maana simulizi za kufikirika za peponi zimejaa anasa tupu
 
Back
Top Bottom