Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,766
Tofautisha kuonekana kama mjumbe wa Bodi na kuonekana kwa kiherehere na kukenua meno mbele ya kamera!Mbona Mizengo anaoneka sana
Tofautisha kuonekana kama mjumbe wa Bodi na kuonekana kwa kiherehere na kukenua meno mbele ya kamera!Mbona Mizengo anaoneka sana
Any proofYule ni jambazi wa taifa
Kufurahi ni asili yake mbonaTofautisha kuonekana kama mjumbe wa Bodi na kuonekana kwa kiherehere na kukenua meno mbele ya kamera!
mananasi kabisaAna kimbembele sana yule mswahili, mbona kipindi cha Jiwe alikuwa anashinda Msoga akilima mananasi tuu...kwann sasa?!.
Wanaomlaumu shida iko wapiBinafsi naona Mhe Jakaya Kikwete hana shida . Na huwa natamani sana siku moja nipate nafasi ya kukaa naye . Ni moja ya maraisi wenye busara sana .. Hapa kinachotokea kwenye serikali iliyopo madarakani ni zao la uongozi mbovu uliowekwa lakini pia juhudi za SSH kuboresha njia yake ni tengua teua . Hapa unahitajika mfumo wenye haki kuanzia mchakato huu wa wabunge . Lakini pia kwenye nafasi za uongozi wa umma wasiangalie tu makaratasi ya watu na majina yao pekee bali uwezo wa hao watu kifikra na kiutendaji kuweza kuifikia dira ya taifa . Pakiwa na haki amani itakuwepo . Vyombo vya dola visiwe na upendeleo wa watu, au vyama au kundi flani vifanye kazi kwa weledi ..
Mifumo ikiwa imara mambo yatakuwa mazuri saivi hatuna hiyo mifumo . Na kuonstall mifumo hiyo lazima kuna watu waumie waliozoea kuishi kimazoea
Uthibitisho wa kwanza usio kuwa na shaka huu hapaKelele zenye muelekeo wa lawama zimekuwa nyingi kwa Rais mstaafu kuwa anamshauri vibaya "mama" Rais aliyepo madarakani. Nabaki na butwaa nikiwa na maswali yafuatayo;
1. Je ni nani mwenye ushahidi kuwa Kikwete ndiye anamshauri SSH?
2. Je SSH (Dkt) hana washauri kwa utaratibu unaofahamika na Kikwete ni miongoni mwao?
3. Je uwepo wa Kikwete kati ya Marais waliotangulia mbele ya haki ndio sababu ya kumlaumu?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Usitumie jazba isipokuwa ukweli wenye mashiko (facts) kuchangia hoja
Na aelewe tu kwamba ni kweli njaakaya ndiye anayemfundisha ila mbinu na njia anazozitumia kumuelekeza maza cha kufanya ndio hatuzijui! Kama vile baba anavyomdanganya maza anakwenda safari ya kikazi na atalala huko kwa siku3, kumbe amelala kwa mchepuko jirani tu hapo na maza hajui.We elewa tu, Taifa halimkubali basi na iishie hapo ..mengine ongea na Mungu wake
Sio hisia zetu tu kweliNa aelewe tu kwamba ni kweli njaakaya ndiye anayemfundisha ila mbinu na njia anazozitumia kumuelekeza maza cha kufanya ndio hatuzijui! Kama vile baba anavyomdanganya maza anakwenda safari ya kikazi na atalala huko kwa siku3, kumbe amelala kwa mchepuko jirani tu hapo na maza hajui.
Dah, haya bwana🤭🤭🤫Na aelewe tu kwamba ni kweli njaakaya ndiye anayemfundisha ila mbinu na njia anazozitumia kumuelekeza maza cha kufanya ndio hatuzijui! Kama vile baba anavyomdanganya maza anakwenda safari ya kikazi na atalala huko kwa siku3, kumbe amelala kwa mchepuko jirani tu hapo na maza hajui.
Escrow Epa RichmondMbona utawala wa kikwete hayakuwepn haya?kwnn tuseme n kikwete?
Ulimi ulimtelezaSHS yeye mwenyewe amesema Boss wake ni Kikwete
Kwa mtindo ganiWatu waache kulalamika wafanye maamuzi magumu tusahau.