RAIS Jakaya Kikwete leo Oktoba 7, 2022 anaadhimisha miaka 72 tangu kuzaliwa kwake ni jambo la kheri na tunaungana na Watanzania wengine kumtakia kheri Mzee wetu wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.
Sasa Swali linakuja Tarehe ya Kuzaliwa JK inajulikana ni kwa nini miaka yote hatujawahi kuona Promo kubwa kiasi hiki ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, lakini leo vyombo vyote vya habari vimeteka habari hiyo, mitandao yote ya kijamii na hata viongozi mbambalimbali kuanzia Wasanii, Watu maarufu, Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Mawaziri kila mmoja kwa nafasi yake akimpamba Rais Kikwete na kupost picha aidha wakiwa pamoja au picha yake na maneno lukuki.
Mungu mbariki JK.
Sasa Swali linakuja Tarehe ya Kuzaliwa JK inajulikana ni kwa nini miaka yote hatujawahi kuona Promo kubwa kiasi hiki ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, lakini leo vyombo vyote vya habari vimeteka habari hiyo, mitandao yote ya kijamii na hata viongozi mbambalimbali kuanzia Wasanii, Watu maarufu, Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Mawaziri kila mmoja kwa nafasi yake akimpamba Rais Kikwete na kupost picha aidha wakiwa pamoja au picha yake na maneno lukuki.
Mungu mbariki JK.