Cute b nimekupenda bure
Nakupenda pia ila kwa hela sio bure
Cute b nimekupenda bure
Nakupenda pia ila kwa hela sio bure
Sawa MuPenz nikipata hela ntakuPM
Mmmh!....Mi nikiambiwa hivo nachapa lapa hata sigeuki nyuma.Huwezi kunithaminisha na mpira aisee hizo ni dharau hata Mungu ataniadhibu kwa kuendelea kuufuga ujinga.Nakuachia nafasi ili uwe unaugegeda huo mpira Pumbaf!
Hebu akuache upende zako mpira...
Mi mwenyew hunigegedi huku man u inacheza.
he he he ! Napityaaa