Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

kitufe cha like kipo wapi? bigup dada

Ha ha ha...kipooo...
sema siku nyingine mdanyanye ili aridhike...ila mtu unaachaje kuangalia Chelsea ipo nafasi ya ngapi na imefikaje huko.. ung'ang'anie papuchi..
UNAKOSAJE LABLA LIGI KUU YA UINGEREZA, LALIGA JE??
 
Ha ha ha...kipooo...
sema siku nyingine mdanyanye ili aridhike...ila mtu unaachaje kuangalia Chelsea ipo nafasi ya ngapi na imefikaje huko.. ung'ang'anie papuchi..
UNAKOSAJE LABLA LIGI KUU YA UINGEREZA, LALIGA JE??

hapo kwa Chelsea Umenitonesha kidonda Changu.. Nimekosa raha ya kutazama mpira sababu ya kupata matokeo mabovu.. Leo nipo Israel Sijui itakuwaje? Mungu rudisha furaha yangu
 
hapo kwa Chelsea Umenitonesha kidonda Changu.. Nimekosa raha ya kutazama mpira sababu ya kupata matokeo mabovu.. Leo nipo Israel Sijui itakuwaje? Mungu rudisha furaha yangu

Maisha ni gwaride kuna wa mwisho na wa kwanza...ukisikia nyumaaaz geuka wa mwisho anakuwa wakwanza...
Haya sasa nafasi ya upendeleo hii..
Chelsick nyumaaaaazzz geuka..
 
Hawa vijana wanahitaji semina elekezi wajufunze jinsi ya kuongea na wapenzi wao. Kwani ni lazima kuusema ukweli usio na tija?
 
  • Thanks
Reactions: Art
yani niache burudani za neymar,messi,coutinho,firmino teh teh

Kama hao ndio wanakupa burudani zaidi, si umuache mdada wa watu aende zake kuna mtu anayeijua thamani yake,
Km umeweza kumshusha thaman yan cha kwnz Mungu, cha pili Wazazi, cha tatu Mpira, hlf ukaweka full stop ina maanisha yy hata kwny top ten hayupo.
Maana ukiambiwa uongeze utasema cha nne ndugu zangu, cha tano rafiki zangu....
Humpendi huyo msichana ila unamtumia kingono.
 
ni kosa kubwa sana, na uo ni upumbavu. kuna dini ambayo imekataza kumsifia mkeo au mpenzi wako. jaribu kubadilika ili kuepusha ugomvi usio na kichwa wala miguu
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni

yani wewe kuishi na mwanamke unatumia moyo kuliko akili
utafeli
ishi kwa upendo, angalizo akili izidi kuchanganua mambo....

wewe upo juu ya kiuno cha mwenzio..na unajidai unadhamini mpira kuliko mwenzio...ivi ujui kuna watu kutwa wanamtongozaa uyo mwanamke wako

na wapo tayari wampeleke samak samak siku ya UEFA , kwenye mtenange mkubwa pale kati afu wana sacrifise mechi waki stare maumbile ya mkew kwa kumkubali kila sekta...unadhani hatomegeka kwa swaga hizo??

afu muwalaumu kesho mademu hawajatulia..kumbe sisi wenyewe ttunakua na matope akilini mda mwingine...
 
kama vipi fresh tu chukua mpira toboa kitobo kula mambo yako
 
mkuu utafananishaje thamani ya mtu na starehe, ina maana huo mpira we ukiugua mpira utakutibu, mpira utakupikia, mpira utakufulia nguo!... ni kweli wengi wetu tunawaacha wapenzi wetu na kwenda mpirani, ila sio kwamba mpira una nguvu kuliko yeye. kwa swali lake hilo ungetafakari kabla ya kumjibu, kwanza ungemwambia thamani yake ni kubwa sana ktk maisha yako na haiwezi kulinganishwa na mpira, ila ungesema kupitia mpira natapa mda wa kujichanganya na rafiki zangu, kuburudisha akili, kuwa na mahusiano mazuri na jamii na kupata watu ambao waweza kuwa msaada ktk mishe za kimaisha... hivyo mpenzi wako angejua na angetambua kuwa ni kweli kuna wakati we kama mwanaume unahitaji kuwa na wanaume wenzako kwa ajili ya kujadili mambo ya kimaendeleo, ukimpa jinu safi kama hilo hutosikia hata siku moja akachukia ukimuaga kwenda mpirani....ila jibu ulilompa ni baya, ina maana hata babu yako, bibi yako, wajomba zako, shangazi zako huwathamini kama unavyouthamini mpira!? kuwa makini mwanamke anahitaji mwanaume mwenye busara kuanzia majibu yake na mengieyo, waweza kumpoteza kirahisi hivyo maana kama kuna mtu anamfatilia anaweza kumkubalia maana atakuwa keshaanza kuhisi kuwa kwako huna muelekeo hata wa kumuoa bali kumtumia tu. kama mwanaume hakikisha kila neno litokalo kinywani mwako liwe la kutunza yako kama mwanaume sio unajibu tu kama muimba taarabu
 
Kweli wewe ni uroto haswaaaa!! Kila binadamu hapendi ukweli unaoumiza, hapo shida ni wewe hukutumia akili tu, usimlaumu binti wa watu

Mbona wewe unaniambiaga unapenda pesa kuliko mimi wala sinuni??!!
 
Mbona wewe unaniambiaga unapenda pesa kuliko mimi wala sinuni??!!

Huu ni ukweli usioumiza hata kidogo, ni ukweli mlainiiiii, alafu nataka hela bwana, hadi niseme?
 
Upendo wa mpira na demu wako hauwez kulingana, kila kitu kina nafas yake na kwa wakt wake ktk moyo wako.. Hvyo ucpende kumfanya ajihic km second choice kwako. Alwys mfanye aamin yeye ndio pekee unaempenda, ht km una ukwel wako moyon. Tht s how women want!

Hapo umemaliza mrembo,
 
Ni wanaume wachache sana wenye akili wataupenda mpira kuliko Ubavu wao (Ikiwa ni mke na si demu)

Ni wanaume wachache sana wenye akili timamu watathubutu kuwatamkia wapenzi wao openly hayo uliyotamka hata ikiwa ndio ukweli wao.
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni

huyo mwanamke kama ataendelea "kukupa" basi ana matatizo na ujue hakufai!
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni

UMEFANYA KOSA LA JINAI. MWANAMKE ASILIA(elewa kuna wanawake ambao geneticaly ni wanaume na hivo hivo kwa wanaume) NI MWONGO NA DAIMA HUCHUKIA UKWELI. UKWELI UACHE MOYONI MWAKO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom