Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

yani niache kuangalia manchester united wanavyotoa dozi huko england nihangaike na kisichana?

Kuna kipindi itafika matokeo unayatafuta, hata unashindwa kujua ratiba ya mechi kwa sababu ya majukumu.

Kwa sasa enjoy.
 
Tena 24 na 25 UEFA,daaa aende zake huko na papuchi lake,asante cute b kumbe nawe chama e,njo nikupe jezi ya dogo Martial
 
Basi Kama Ndiyo Hivyo Ukweli Ni Kwamba Huyo Dada Humpendi Sema Uponae Tu Kwa Kusogeza Siku Mbele.
Maana Kuna Vitu Vingine Unapokua Kwenye Mahusiano Na Mtu Unaempenda Huwezi Kuvisema Kwa Njia Hiyo Uliyoitumia. Maana Kwa Kufanya Hivyo Kunaweza Kupelekea Kupungua Kama Sio Kuisha Kabisa Upendo Wenyewe Kwake.
Nb: Mapenzi Ni Hisia.


lakni mimi nimeongea ukweli kutoka moyoni,na sina mchepuko zaidi ya mpira
 
Hayo majibu uliyo toa, yangestahili kutolewa na mtoto wa Chekechea....
Kwanza huyo dada anabusara sana kama bado anaweza kulala na wewe nyumba moja

Ninavyo ona, kwanza wewe nimpitaji/haujawa tayari kuoa; au una umri mdogo sana; sitaki kutaja lile tatizo la kijamii Elimu, Elimu Elimu...kwani hata kwa akili ya kuzaliwa mtu hawezi kutoa majibu ya kejeli kama hayo kwa mpenzi wake!!!!


hapana sio kejeli,inamaana ningemdanganya,si ningepata dhambi na ukweli uko moyoni?
 
Kweli wewe ni uroto haswaaaa!! Kila binadamu hapendi ukweli unaoumiza, hapo shida ni wewe hukutumia akili tu, usimlaumu binti wa watu


nishauri mdogo wangu atoto nini kifanyike nirudishe furaha yake
 
Upendo wa mpira na demu wako hauwez kulingana, kila kitu kina nafas yake na kwa wakt wake ktk moyo wako.. Hvyo ucpende kumfanya ajihic km second choice kwako. Alwys mfanye aamin yeye ndio pekee unaempenda, ht km una ukwel wako moyon. Tht s how women want!
 
Mi nikiambiwa hivo nachapa lapa hata sigeuki nyuma.Huwezi kunithaminisha na mpira aisee hizo ni dharau hata Mungu ataniadhibu kwa kuendelea kuufuga ujinga.Nakuachia nafasi ili uwe unaugegeda huo mpira Pumbaf!

usipanic dada,ila tumeshibana,na uvumilivu ni silaha ya upendo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom