Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 493
Mwambie unampenda yeye
yani niache kuangalia manchester united wanavyotoa dozi huko england nihangaike na kisichana?
Haya bana, kwa hiyoo!
Mpira kwanza ndio wew
Halafu usipende kufananisha mpira na vitu vya kijinga
Halafu usipende kufananisha mpira na vitu vya kijinga
Basi Kama Ndiyo Hivyo Ukweli Ni Kwamba Huyo Dada Humpendi Sema Uponae Tu Kwa Kusogeza Siku Mbele.
Maana Kuna Vitu Vingine Unapokua Kwenye Mahusiano Na Mtu Unaempenda Huwezi Kuvisema Kwa Njia Hiyo Uliyoitumia. Maana Kwa Kufanya Hivyo Kunaweza Kupelekea Kupungua Kama Sio Kuisha Kabisa Upendo Wenyewe Kwake.
Nb: Mapenzi Ni Hisia.
Hayo majibu uliyo toa, yangestahili kutolewa na mtoto wa Chekechea....
Kwanza huyo dada anabusara sana kama bado anaweza kulala na wewe nyumba moja
Ninavyo ona, kwanza wewe nimpitaji/haujawa tayari kuoa; au una umri mdogo sana; sitaki kutaja lile tatizo la kijamii Elimu, Elimu Elimu...kwani hata kwa akili ya kuzaliwa mtu hawezi kutoa majibu ya kejeli kama hayo kwa mpenzi wake!!!!
Mi nikiambiwa hivo nachapa lapa hata sigeuki nyuma.Huwezi kunithaminisha na mpira aisee hizo ni dharau hata Mungu ataniadhibu kwa kuendelea kuufuga ujinga.Nakuachia nafasi ili uwe unaugegeda huo mpira Pumbaf!
huwa nakupenda bure tu na comments zako"Kugegeda" hili neno limekaa kiajabu kinoma. Anyway dogo, ni phase tu unapitia. Enjoy responsibly.