Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Sawa mkuuuu hili neno hutumika humu jamii forum saana

Nahisi demu wako mlipatana humu jf ahahahah

Sawa mkuu
 
Wasalaam wana Mmu

asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimeufanyia kazi na matunda yameonekana

kilichonileta hapa nikua kwasasa Huyu mpenzi wangu haniiti baby,honey,laazz nk kama ilivyokua mwanzo

ananiita MKUU,sasa jina hili silipendi sana,kitu kidogo anisema asante mkuu,nmekaa naye nakumueleza hlo jina silipendi anasema anajisahau

sasa naombeni ushauri nimpge makofi au nimpe suspesion ya wiki moja aende kwao?
maana nmempga na penzi ila haachi kuniita mkuu

Mkuu mpige talaka
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni

Aisee utoto ni shidaaa...
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?

Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.

Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?

Karibuni
Ha Ha Ha Ha, Unaniogopesha, hata mimi nupenda mpira sana. Ila huwa na act kama nampenda yeye kuliko mpira.
 
uko very smart mangi.....kutoka ktk uvungu wa moyo wako.......hao hawajielewi....ndivyo walivyo.....ungemwambia wewe kwanza atataka kupanda kichwani..... komaaaa,,, kugegeda ni burudani na soka nalo ni burudani....viwango ndo tofautiiii....
 
Mh real madrid wanakipiga na barca uniambie nibaki nyumbani kisa baby, usintanie ww,tatizo wanawake hawapendi kuheshim tunavyovipenda

Hahaha nyie na mipira yenu mmezidi lakini. Hatujawakataza msiende, nendeni tu mkaangalie
 
Ngoja na yeye akuambie anapenda whatsap kuliko wewe.
 
Oooh! Next time usimwambie ukweli mkuu! Mdanganye Tu coz ndo wanaskia raha wakidanganywa!
 
Hahaa haaaaa du hiyo kali,hapo ilitakiwa umdanganye hayo yote yasinge kukuta.
 
Yaan hata niwe na ukame namna gani na siku hiyo kuna match ya REAL MADRID...aisee match ya madrid kwanza
 
Ndugu yangu mimi mwenyewe napenda mpira balaa.ila siwezi kusema hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom