Wasalaam wana Mmu
asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimeufanyia kazi na matunda yameonekana
kilichonileta hapa nikua kwasasa Huyu mpenzi wangu haniiti baby,honey,laazz nk kama ilivyokua mwanzo
ananiita MKUU,sasa jina hili silipendi sana,kitu kidogo anisema asante mkuu,nmekaa naye nakumueleza hlo jina silipendi anasema anajisahau
sasa naombeni ushauri nimpge makofi au nimpe suspesion ya wiki moja aende kwao?
maana nmempga na penzi ila haachi kuniita mkuu
Habari zenu wakuu,
Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?
Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.
Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?
Karibuni
Ha Ha Ha Ha, Unaniogopesha, hata mimi nupenda mpira sana. Ila huwa na act kama nampenda yeye kuliko mpira.Habari zenu wakuu,
Nina mpenzi wangu ambaye huu ni mwaka wa pili tupo kwenye mahusiano, Juzi usiku baada ya kumgegeda, akaniuliza hivi baby kwanini unapenda mpira wa miguu kiasi kwamba hua unaniacha peke yangu wewe unaenda kwenye mpira?
Nikamjibu kua "baada ya Mungu, wazazi ndo mpira kitu ninachokipenda"akaniuliza "kwahiyo mimi na mpira kipi unakipenda?"Mimi nikamjibu toka moyoni kwamba mpira kwanza wewe ndo unafata, cha ajabu tangu juzi amekasirika na amesema kama nahitaji kumgegeda, niugegede mpira.
Swali langu ni kwamba hivi ni kosa kumwambia mtu ukweli wa kutoka moyoni?
Karibuni
Ha Ha Ha Ha, Unaniogopesha, hata mimi nupenda mpira sana. Ila huwa na act kama nampenda yeye kuliko mpira.
Dadeki kwa hiyo mpira ni muhimu kuliko baby?
Mh real madrid wanakipiga na barca uniambie nibaki nyumbani kisa baby, usintanie ww,tatizo wanawake hawapendi kuheshim tunavyovipenda
Hahaha nyie na mipira yenu mmezidi lakini. Hatujawakataza msiende, nendeni tu mkaangalie
Mbona cc wengi wetu hatupendi taarabu lakini mnapokuwa mnasikiliza au kuangalia hatuzimi