Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Kwanini mwanamke ukimuambia ukweli ananuna?

Hawa watu sijui wameumbwaje,wakwangu ukimwambia leo umebugi kupika vizur ananuna kama lowasa na matokeo ya urais


hahaaa tusipowaambia ukweli,watakuja kutuaibisha kwa wazaz wetu
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana MMU,

Juzi nlikuja kuomba ushauri kuhusu topic tajwa hapo juu baada ya mpenzi wangu kununa na kunigomea kufanya mapenzi mimi sikupanic sana, ila nilimwomba msamaha lakini akasema hayuko tayari kunisamehe mpaka hasira ziishe.

Sasa juzi usiku wa saa 8 akaniamsha akitaka nimgegede, kwakua sikugoma nikampa haki yake na machozi juu imefika asubuhi yuko serious tena,mimi nikaenda kazini, niliporudi akawa amepoa sana, ilipofika usiku wa saa 8 tena akaitaji nimgegede, kwakua sina utani na papuchi, nilimpatia mpaka akaanza kuniomba msamaha kwa hali iliyotokea ile siku ya mpira.

Imefika asubuhi akasema anaumwa sana, hivyo hawezi kukaa peke yake, ikabidi nihairishe kwenda kazini, imefika mida ya saa 4 asubuhi akaitaji penzi, kama kawaida yangu nikampatia.

Imefika mida ya saa8 mchana akaitaji tena,nikampa,na akasema usiku ndo ananisubiri kwa hamu,nlipomuuliza kwanini kila mda anataka penzi? Anasema hali hii itaendelea mpaka keshokutwa eti ananipima kama kweli ile siku ya mpira kama sikua na mwanamke,nikishindwa kutimiza atajua kua nilikua na msichana huyu mwanamke yuko sahihi kweli kwa mitazamo yenu?

Viva barcelona

Hahahaaa tabia mbaya kwelii kibokoo...
 
Wasalaam wana Mmu

asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimeufanyia kazi na matunda yameonekana

kilichonileta hapa nikua kwasasa Huyu mpenzi wangu haniiti baby,honey,laazz nk kama ilivyokua mwanzo

ananiita MKUU,sasa jina hili silipendi sana,kitu kidogo anisema asante mkuu,nmekaa naye nakumueleza hlo jina silipendi anasema anajisahau

sasa naombeni ushauri nimpge makofi au nimpe suspesion ya wiki moja aende kwao?
maana nmempga na penzi ila haachi kuniita mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom