Kwanini mwanamke akiwa hedhi anamchukia Kila mtu

Ushaelezwa hapo juu hivo mchukulie kama alivyo....

Hii shida nilikua naiona sana kwa dada wa kazi siku zote huwa anajitahidi ana heshima ila kuna baadhi ya siku ananijibu kama yeye ndio boss, nikafatilia nikagundua ni almost mara moja kwa mwezi nikahisi huyu anakuaga period ndio maana, na kweli kila akijibu ujinga nikiingia room kwake nakuta pedi kitandani, sina tena shida nae akijibu namkaushia tu.
True dada wa kazi akiwa na kibri .......
mawazo ya kwanza kwa mke, mume anakula dada kazi !!? ujinga huu uliwahi kunitokea zamani ......
kumbe ni mod swing tu.....
 
True dada wa kazi akiwa na kibri .......
mawazo ya kwanza kwa mke, mume anakula dada kazi !!? ujinga huu uliwahi kunitokea zamani ......
kumbe ni mod swing tu.....
Nilikuaga namind, ila nikikaa mwenyewe nikawa nashangaa najiuliza kwanini huyu ananijibu ovyo wakati hayupo hivo ana heshima ilichukua muda kuja kuwaza upande huo, tangu nijuee akijibu najifaya kama sijasikia 😁
 
Nashindwa kukubaliana na wewe kwakua kila niliyewahi kudate naye tumeshashonana akiwa anableed.
 
Kweli kabisa binafsi nakuwaga na hasira sana kitu kidogo nafokafoka balaa mtoto asikae karibu yangu hakii
 
Wewe kama wife akiwa period anakua na genye vibaya sana mwanzo nilikua simuelewi ila sasa yaani hata kama anavuja pedi inawekwa pembeni napeleka moto
We jamaa unapenda sana maku ya wife wako, hata sikushangai we jitafunie tu,

tatizo hasira tu Sasa Mimi kww sasa Ni karibu siku zote nakuwa hivyo mwenye kisirani,(sijapata mkuyenge siku nyingi), siku za damu ndo nakuwa vibaya zaidi, nimekuwa mtu wa gubu sana ilhali si hulka yangu
 
Kwa kuwa umeuliza swali la kibabe kidogo, ngoja upate majibu ya kibabe pia...

Kati ya mwanaume na mwanamke, sehemu kubwa ya mwenendo wa siku za mwanamke huongozwa na mabadiliko ya vichocheo 'hormones'...

Kwa mwanamke huwa kuna kitu kinaitwa Premenstrual syndrome (PMS), ni mkusanyiko wa dalili za kimaumbile au kihisia ambazo huanza angalau wiki moja kabla ya hedhi. PMS ndio inayopelekea mwanamke kuwa tu na tabia ambazo ndio hizo umezitaja "feel moodier than usual"
pia wengine wanakuwa wana hamu sana ya vitu vitamu vitamu kama pipi, ila hii ni kawaida kwa mwanamke. mwanaume usitake kuanza kujitafutia makosa ambayo hujafanya
 
pia wengine wanakuwa wana hamu sana ya vitu vitamu vitamu kama pipi, ila hii ni kawaida kwa mwanamke. mwanaume usitake kuanza kujitafutia makosa ambayo hujafanya
Chocolate hivi maana zinasaidia cramps .
Cravings huwa zinanisumbua mno , kila kitu natamani kula tena lazima nikipate .
 
Back
Top Bottom