Mtoto wa pekee war rafiki yangu alikuwa na mahusiano, hakuwahi kumpeleka nyumbani huyo dada, siku alipougua ghafla ilibidi mama yake apigiwe simu, alipofika anamkuta mka mwana kama mdogo wake wa pili hivi, kha mama kutahamaki, mkwe amemueleza kijana. Kijana amemwambia mama hili ndiyo chaguo langu, kama hutaki ninajiua. Mama imebidi akubali.
Kuna kujimentain na kukeep figure, unakuta umri umekwenda tena mwanumbe wa 34 ndiyo anaonekana mzee kwa tumbo la bia, mdada wa 46 ndiyo gym na make-up kwa sana tu. Kama unampenda mtu hutaona aibu kumfahamisha kwa jamii.
Thus way nimesema mapenzi yapokolea huwa yanakosa definition sahihi, unaweza ita upofu nk, lakini ndio hivyo tena.
Ila hapo kilichotakiwa ni kumukabalia tu huyo kijana kwa muda ili kumuepusha na huyo shetani/roho wa mauti, then unafanya utaratibu wa kumfanyia cancelling ili aweze kuondokana na huyo mama mtu mzima, maana akisha loea huko hata uwezo wa kuweza kutongoza mdada wa rika yake unapotea kama sio kupungua sana.
Huwezi jua shetani ana nguvu sana anaweza kujiua, hivyo umakini katika kumzuia unahitajika ili kuondoa madhara.
Na kwa mwanamke mtu mzima sijui anaona fahari gani kutembea na kijana mdogo sana kama mwanae ama mdogo wake wa mbali sana.
Na mnasemaje mwanamke akimzidi mpenzi wake miaka minne??
Even me cpendezwi kabisa
mahusiano ya ivo. Bora mpishane walau mwaka 1 au miez au hata miaka
miwili ingawa sio saana.Kwanza wanawake wanawahi kuzeeka kuliko
wanaume.Mimi nachukia sana mahusiano ya mwanamke kumpita mwanaume umri
mkubwa sawa na mama yake mzazi,yaan hata mkiongozana unaonekana uko na
mama ako kumbe ndo mkeo huyo.Haipendezi
hakuna tatizo lolote zaidi ya mtazamo yabisi wa jamii haswa za kiafrika. nadhani mme ukizidiwa umri unafundishwa mengi katika maisha na mke alio kuzidi.
mfano Ashton Kutcher na Demi Moore, Nick Cannon& Mariah Carey, David &Victoria Beckham, Jlo &Casper, Jaffarai &Bhanji etc......sio kweli kila tulichokikuta kinafanywa na vizazi vya zamqni ni sahihi. Anza kutafuta mke aliekuzidi hata miaka 2 au mume ulimzidi hata miaka 5 tu.
Kumsichana nampenda sana kwetu wamekubali wesema nimuoe lakini nikimwambia nimuoe anakataa anasema awezikuolewa na mimi kwa sababuananizidi. (ananizidi miaka mitatu) lakini nampenda sana anaitwa suzy nae anasema akuna mvana anaempenda tofauti na mimi. Je nifanye nini na nina mpenda