Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,634
- 893
Mtoto wa pekee war rafiki yangu alikuwa na mahusiano, hakuwahi kumpeleka nyumbani huyo dada, siku alipougua ghafla ilibidi mama yake apigiwe simu, alipofika anamkuta mka mwana kama mdogo wake wa pili hivi, kha mama kutahamaki, mkwe amemueleza kijana. Kijana amemwambia mama hili ndiyo chaguo langu, kama hutaki ninajiua. Mama imebidi akubali.
Thus way nimesema mapenzi yapokolea huwa yanakosa definition sahihi, unaweza ita upofu nk, lakini ndio hivyo tena.
Ila hapo kilichotakiwa ni kumukabalia tu huyo kijana kwa muda ili kumuepusha na huyo shetani/roho wa mauti, then unafanya utaratibu wa kumfanyia cancelling ili aweze kuondokana na huyo mama mtu mzima, maana akisha loea huko hata uwezo wa kuweza kutongoza mdada wa rika yake unapotea kama sio kupungua sana.
Huwezi jua shetani ana nguvu sana anaweza kujiua, hivyo umakini katika kumzuia unahitajika ili kuondoa madhara.
Na kwa mwanamke mtu mzima sijui anaona fahari gani kutembea na kijana mdogo sana kama mwanae ama mdogo wake wa mbali sana.