Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

Wana jamvi naomba kueeweshwa katika hili, kwa nini msafara wa Rais huwa una speed kubwa sana.? Je ni sheria gani y usalama barabaran inayoruhusu hilo.? Kwa nini katikati miji or penye makaz ya watu wasiwe wanapunguza speed.?? Naombeni msaada wenu wa mawazo



me huwa napenda niukutane naye njiunge kwenye msafara poster dakika tatu
 
Wana jamvi naomba kueeweshwa katika hili, kwa nini msafara wa Rais huwa una speed kubwa sana.? Je ni sheria gani y usalama barabaran inayoruhusu hilo.? Kwa nini katikati miji or penye makaz ya watu wasiwe wanapunguza speed.?? Naombeni msaada wenu wa mawazo

sisi hayatuhusu kawaulize wenyewe
ukijua ufanyaje kwa nini usiwaulize wenyewe kwani humu umeona kuna office
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!

Mwanafunzi itamsaidia nini? Kama ni mwalimu lazima uwe voda fasta.
 
Anawahi Rais ana mambo mengi.
NB:Msiniulize kwamba wengine hawana mambo mengi
 
Mwanafunzi itamsaidia nini? Kama ni mwalimu lazima uwe voda fasta.

Kama hujui ni heri ungenyamaza, si kila mtu anayeulizwa swali ni mwalimu or ananelewa kila kitu, waungwana walioelewa wameshanijibu.!
 
Mwanafunzi itamsaidia nini? Kama ni mwalimu lazima uwe voda fasta.

Kama hujui ni heri ungenyamaza, si kila mtu anayeulizwa swali
ni mwalimu or ananelewa kila kitu, waungwana walioelewa wameshanijibu
 
Hawa ndo waalimu wetu wa voda faster. Yaani hata kufikiria kidogo ulishindwa? Zero hazitaisha tanzania maana hata waalimu wenyewe wana sifuri vichwani.

Kama hujui ni heri ungenyamaza, si kila mtu anayeulizwa swali
ni mwalimu or ananelewa kila kitu, waungwana walioelewa wameshanijibu
 
msafara wa rais unaenda spidi ya km 120 kwa saa na si chini ya hapo
source: usalama wa taifa
 
huwa anawahi home kucheki habari ya saa mbili
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

Jibu swali wewe! Kona nyiingi kumbe hujui lo lote.
 
kwa sababu magari anayotumia yana spid kubwa, had 200 na ktu m/h
 
Kwa ufupi ni hivi. Ulinzi ni elimu kama zilivyo elimu nyingine duniani moja ya maprofesor wa ulinzi wanapenda kutolea mfano mauaji ya sarajevo ambayo yalisababisha vita ya dunia na moja ya uzembe uliofanywa na walinzi ni kufuata sheria zote za barabarani kwa mfano mwendo mdogo town na kufuata mataa hivyo rais alipigwa risasi. Hivyo shabaha ya risasi inategemea sana kinacholengwa kiwe kimesimama au kipo polepole hivyo usalama wa rais ni bora kwenda mwendo kasi na madereva waliofunzwa v.i.p driving
 
Naweza kujibu swali lako kutokana na uzoefu wangu mdogo katika maswala ya secrete service na government security kwa viongozi. Kiongozi wa nchi wa ngazi za juu anapopita katika barabara yoyote yenye congestion, kwa usalama tunasema anakua at risk kuweza kushambuliwa kwa risasi au makombora. hivyo mwendo wa kasi husaidia kuweza kuvuruga target ya kifaa kinachoweza kutumika kwa mashambulizi mfano RPG au Sniper riffle, kwani kitaalam ni vigumu sana kulenga target ambayo ina move tena kwa kasi. conclusively mwendo wa kasi kwa vyombo vya usafiri kwa viongozi kubwa ni kwa sababu za kiusalama tu.
 
Mi nadhani ni sababu ya usalama wake,kwenye katiba mpya napendekeza rais awe anatembelea helkopta.Maana utagandisha sana wapiga kura wake kwenye foleni,naomba mda ule mnaoutumia kuzomea kwenye mijadala ya katiba muda huo mtumie kujadil hili
 
Uendeshaji wa viongozi unayo elimu yake kulingana na ngazi ya kiongozi unayemuendesha kama pale chuo cha usafirishaji(n.i.t) wanafundisha na marais wengi wa afrika wamepata madereva toka pale tukumbuke pia barabara nayo huwa tupu kabisa hivyo kwanini aende polepole wakati watu wamesimamishwa wanasubiri rais apite. Nadhani hayo kwa leo inatosha.
 
Hata mimi huwa najiuliza. Sielewi Rais anakuwaje salama kwa kumkimbiza kwa spidi kali namna hii. Nina hakika msafara wake husafiri kwa mwendo wa si chini ya kilomita 140 kwa saa. Ni hatari kwa magari mengi yanayofuatana kwa karibu kwenda mwendo kama huu.
 
Back
Top Bottom