Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

KASI YA MSAFARA WA RAIS:

Sababu kubwa duniani kwa viongozi wakuu wa nchi huwa ni USALAMA. Kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu, misafara inakuwa na kasi zaidi shauri hatuna teknolojia nzuri katika usalama popote viongozi wakuu wapitapo.

Zipo barabara ambazo upo ulinzi toshelezi na baadhi ya nyakati hukuti misafara mikali, waila kiujumla wa nchi yetu lazima misafara iwe na kasi kuepusha jaribio lolote kujiri kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Ukiwa Kampala ndio utashangaa ukiona msafara wa M7, pale ipo gari maalum ya kurusha makombora katika msafara wa Rais.

Kwa njia zetu na miundombinu iliyopo, msafara wa Rais au kiongozi yeyote mkuu wa nchi ukivamiwa, ni taabu sana kuokoa (shauri ya miundombinu). Ndio maana njia zote apitazo kiongozi mkuu wa nchi hutanda wanausalama wengi (wanaoonekana dhahiri na wasioonekana kwa sare zao).

Japo awapo Rais popote vipo vyombo maalum vinavyoonyesha usalama na vihatarishi vyake kuzunguka eneo hilo au eneo analotrajia kwenda, bado yapasa kuwa na kasi ya ulinzi kwa mkulu ikiwemo kasi ya misafara.

Wenzetu America na Europe, zipo barabara maalum kutumiwa na viongozi na mara nyingi viongozi wakuu hutumia helikopta.
 
mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

huyu ni mtanzania kweli? Nina mashaka na huyu mtu maana lugha yake sijaelewa ni ya wapi
 
KASI YA MSAFARA WA RAIS:

Sababu kubwa duniani kwa viongozi wakuu wa nchi huwa ni USALAMA. Kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu, misafara inakuwa na kasi zaidi shauri hatuna teknolojia nzuri katika usalama popote viongozi wakuu wapitapo.

Zipo barabara ambazo upo ulinzi toshelezi na baadhi ya nyakati hukuti misafara mikali, waila kiujumla wa nchi yetu lazima misafara iwe na kasi kuepusha jaribio lolote kujiri kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Ukiwa Kampala ndio utashangaa ukiona msafara wa M7, pale ipo gari maalum ya kurusha makombora katika msafara wa Rais.

Kwa njia zetu na miundombinu iliyopo, msafara wa Rais au kiongozi yeyote mkuu wa nchi ukivamiwa, ni taabu sana kuokoa (shauri ya miundombinu). Ndio maana njia zote apitazo kiongozi mkuu wa nchi hutanda wanausalama wengi (wanaoonekana dhahiri na wasioonekana kwa sare zao).

Japo awapo Rais popote vipo vyombo maalum vinavyoonyesha usalama na vihatarishi vyake kuzunguka eneo hilo au eneo analotrajia kwenda, bado yapasa kuwa na kasi ya ulinzi kwa mkulu ikiwemo kasi ya misafara.

Wenzetu America na Europe, zipo barabara maalum kutumiwa na viongozi na mara nyingi viongozi wakuu hutumia helikopta.

Asante mkuu..!!
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!

Ulikua unafundisha somo gani mkuu?
 
Kwa sababu za kiusalama...basi tu ni priority.

Msafara wa rais na viongozi wengine wakubwa, magari ya wagonjwa(ambulance),zima moto(fire brigade),magari ya jeshi (military motor vehicles) n.k yameruhusiwa kisheria(sheria ya usalama barabarani kupitia waziri mwenye dhamana) kwenda kasi na kupita njia yoyote hata ya kurudia,au kinyume na kukatisha popote.
 
Wana jamvi naomba kueeweshwa katika hili, kwa nini msafara wa Rais huwa una speed kubwa sana.? Je ni sheria gani y usalama barabaran inayoruhusu hilo.? Kwa nini katikati miji or penye makaz ya watu wasiwe wanapunguza speed.?? Naombeni msaada wenu wa mawazo

kwa sababu njia hua ni nyeupe ndo wanaspeed kubwa sana yaani hakuna foleni kungekua na foleni wasingeenda kwa spid hvo
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

daaa mkuu ukipenda kukuna subiri ukunwe na ukipenda kukosoa nawe kaa mkao wa kukosolewa,hivi kweli hata darasa la nne umefika kweli mbona umeandika uchafu na matapishi yenye kuleta kinyaa sana katika mboni za macho na kusababisha ubongo uwe na usingizi wa kuendelea kusoma hoja yako.:behindsofa:.chabo darasani mbaya sana lazima utoke mbumbumbu.yani wewe ndo kilaza usiyejua hata kuandika
 
kama ni juzi ulimuona huko dodoma, basi alikuwa anawahi kufungua bunge la katiba, teh teh
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!

Hawa ndo waalimu wetu wa voda faster. Yaani hata kufikiria kidogo ulishindwa? Zero hazitaisha tanzania maana hata waalimu wenyewe wana sifuri vichwani.
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

mgweno@akiuliza siyo akihuliza,pia maswali utakayoulizwa siyo hulizwa,napita tu niliona Makosa ya kisarufi tu kwako nawe byeee
 
MAJIBU
1. Kuepusha uharifu, mashambuliz, hasa Snipers
2. Kuwah majukum
3. kuepusha folen ya magar mengne yanayohitaj kutumia njia hiyo, ingawa kuna wakat Traffic huwaweka watu pemben kwa muda mrf (Makosa ya muda)
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!

Ndugu yangu kila swali utaloulizwa ndo utakua unakuja kuuliza huku?
KUMBE div 5 za watoto wetu zina chain ndefu.
 
Mkuu hii nikwa sababu ya mafta wanayo kuwa nayo bac nenda kamjibu hvyo mwnafunz wako.
 
Back
Top Bottom