Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

Kwanini msafara wa Rais huwa una speed kubwa?

Eswa

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
296
Reaction score
824
Wana jamvi naomba kueeweshwa katika hili, kwa nini msafara wa Rais huwa una speed kubwa sana.? Je ni sheria gani y usalama barabaran inayoruhusu hilo.? Kwa nini katikati miji or penye makaz ya watu wasiwe wanapunguza speed.?? Naombeni msaada wenu wa mawazo
 
Anajijua ni adui wa watu so mda wowote anaweza kutolewa utumbo....ila mda unakuja
 
Itakusaidia nini ukijua mkuu?




Sent from Nokla using Jf app

Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!
 
Nenda polisi kaulize wao ndiyo wako barabarani watakujuza.
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!
Mwambie wewe hujui akamuulize mkuu wa jeshi la posi au wewe msaidie kwenda ikulu pale ukaulize.
 
Mwambie wewe hujui akamuulize mkuu wa jeshi la posi au wewe msaidie kwenda ikulu pale ukaulize.

Mkuu kama huna jibu bora kutulia tu kuliko kumkatiksha mtu tamaa kiasi hicho..!!
 
Ndio jibu hilo wewe kilaza kweli?

Umeanza dharau? Unanijua mimi au kuna sehemu nimekujibu kwa lugha ya kipuuzi kama yako?

Nimeuliza, ukijua jibu la swali lako litakusaidia nini?




Sent from Nokla using Jf app
 
Ni swali nililoulizwa na mwanafunzi so nikamwambia anipe muda w kufuatilia ths y nimeuliza hapa nipate kupata majibu ili nikamsaidie huyo mwanafunzi.!

Ok sawa mkuu, huenda wako wanaojua mimi sijawahi fuatilia




Sent from Nokla using Jf app
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

Si kila mtu anayeulizwa maswali ni mwalimu, na si kila anayeshindwa kujibu maswal ni kilaza..! So km hujui jibu its better ukatulia wanaojua wajibu..!
 
Rais ana mambo mengi yakufanya hivyo anaenda na muda.
 
Mwalimu gani hujui njia za kufundisha ....umekuwa kama mwalimu wa upe bana.....haya chukua njia nzuri ya kujibu maswali utakayo hulizwa na wanafunzi wako...akikuhuliza swali kama ulijui usiwahambie ngoja nikatafute jibu...cz watakuona kilaza.....unachotakiwa kulirudisha swali lile kwa wanafunzi ili upate majibu cz sm tym majibu wanakuwa nayo so anataka kukutegatu.....na wakishindwa kutoa jibu bc wape home wrk ya ilo swali uku ukiendelea kutafuta majibu

Tafadhali panapo stahili kuweka 'h' au 'a' weka na siyo kuweka herufi hovyo hovyo! Au unachanganya 'kigweno' na kiswahili.
Ila ni ushauri tu
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Back
Top Bottom