Bora tv atasema zake bado hajaziwekea vitu vingi kama za nje but wewe unafikiri hata hizo sayona sijui cola nini kuna hata mwanafamilia wake mmoja anaezitumia sembuse yeye?View attachment 1487923Ukitazama hiyo picha vema mo anatuma tv ya sony na sio zile zake za mo electro je kwann hatumii brand yake?
😂 😂 😂 😂 😂We ukiuza sumu utakuwa mtumiaji wake?
Aisee!! Inawezekanaje!! Ama kweliHata bakhresa hatumii maji ya viwanda vyake ni kawaida but unakuta kwenye events mezano wameweka chupa za bland yake ila mpaka tukio linaisha hafungui kunywa.
Tatizo nini ?Hata bakhresa hatumii maji ya viwanda vyake ni kawaida but unakuta kwenye events mezano wameweka chupa za bland yake ila mpaka tukio linaisha hafungui kunywa.
Mbona mnapenda kunifuatilia sana maisha yangu humu!Mbona Gwaji boy ana brand yake nyumbani kaenda tumia nyingine
Wambea wanajulikana tuAisee!! Inawezekanaje!! Ama kweli
Ni kweli, ila Mbeya kuna binadamu kama ww wanaishi nakufanya yao mkuu.Wambea wanajulikana tu