Kwanini Mohamed Dewji "Mo" hatumii bidhaa zake?

Kwanini Mohamed Dewji "Mo" hatumii bidhaa zake?

Hakuna tatizo ila.
Product zinazozalishwa siyo mahususi kwa watu wa level ya juu a.k.a matajiri, hayo ni products za biashara japo yana vipomo vya mahabara.
Hata ningekuwa mimi nisingetumia bidhaa za Mo mfano Tambi za Mo, viberiti vya Mo.
Low quality tupu
 
Back
Top Bottom