Kwanini Mkoa wa Pwani unakosa Manispaa?

Kwanini Mkoa wa Pwani unakosa Manispaa?

Sasa kwa Waswahili Manispaa yanini?
Hao ndio wa KWANZA miji yao kuwa halmashauri,manispaa na Jiji kabla mikoa mengine haijafikia level hizo.
Dar ndio center na mji mkuu wa Waswahili mwambao wote wa Pwani kuanzia Kilwa mpaka Lamu ukifuatiwa na Mombasa na ndio mji wa KWANZA kuwa na halmashauri,manispaa na Jiji. Wa Pwani wanachukulia Dar ndio mjini.
 
Labda manispaa iwe chalinze, maana ipo katikati ya Dar na moro, tena ipo karibu na moro zaidi kuliko Dar
 
Mkuu huko shule ulienda kusomea ujinga au....CIVICS ya form two inakushinda
Utaratibu ni huu inaanza mamlaka ya Mji mdogo-halafu Mji-Mji ukishafikia idadi ya watu zaidi ya 90,000 unapewa hadhi ya Manispaa-ikitoka Manispaa inafuata hadhi ya Jiji
Yan kaandika ujinga mnoo, anaonekana mweupe sana kichwani
 
Dar es salaam a k a Mzizima ndio makao makuu ya Mkoa wa Pwani.
Toka kale mpaka Sasa.

Kilichofanyika ni kuchukua eneo dogo na kuliita mji/ Jiji halafu kwingine Pwani.

Ila kote ni eneo Moja.

Cha mwisho wilaya za Pwani zote zimeunganishwa na dar es salaam hivyo ni ngumu haya maeneo kujua kwa kasi iliyokusudiwa.

Ila kwa Sasa dar eneo kubwa limejaa ukiitoa kigamboni ndio maana unaona Pwani inajengeka kwa kasi
Wewe unakiamini hiki ulicho comment? Mbona Dar es salaam yenyewe ina Manispaa 5?
Kwanini Pwani haina Manispaa?
 
Me naamini mda c mrefu mkoa wa pwani kuna wilaya zitapewa hadhi ya manispaa
 
Labda manispaa iwe chalinze, maana ipo katikati ya Dar na moro, tena ipo karibu na moro zaidi kuliko Dar
Na chalize hapawezi kuwa manispaa kwanza kule porini afu idadi ya watu Ni ndogo Bora Ata kibaha angalau
 
Pwani haiwezi kuendelea makao yake makuu yakibakia Kibaha.
Ili pwani iendelee basi inabidi makao yake makuu yahamie Bagamoyo.
 
Wewe unakiamini hiki ulicho comment? Mbona Dar es salaam yenyewe ina Manispaa 5?
Kwanini Pwani haina Manispaa?
Kwa nini mbeya vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini bariadi vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini wilaya ya Uyuwi hakuna manispaa?
 
Kwa nini mbeya vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini bariadi vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini wilaya ya Uyuwi hakuna manispaa?
Upitie uzi tena,ulichoandika hakiendani na mada husika
 
Ngumu kwa sababu,shughuli za uchumi nyingi ziko dsm,huku pwani kumebaki makazi tu watu wanarudi kulala tu.
 
Kwa nini mbeya vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini bariadi vijijini hakuna manispaa?

Kwa nini wilaya ya Uyuwi hakuna manispaa?
Mbeya Vijijini lugha rasmi ni Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC) ambayo tayari ni Halmashauri. Hivyo bado haijafikia hadhi ya kuwa Halmashauri ya Mji au Manispaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom