darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,208
- 18,226
Sasa kwa Waswahili Manispaa yanini?![]()
Dar ndio center na mji mkuu wa Waswahili mwambao wote wa Pwani kuanzia Kilwa mpaka Lamu ukifuatiwa na Mombasa na ndio mji wa KWANZA kuwa na halmashauri,manispaa na Jiji. Wa Pwani wanachukulia Dar ndio mjini.Hao ndio wa KWANZA miji yao kuwa halmashauri,manispaa na Jiji kabla mikoa mengine haijafikia level hizo.
