GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Nimeishi Mwanza!
Nimefika Chunya mkoani Mbeya.
Nimeshafika Iringa.
Zanzibar napafahamu.
Nimefika na maeneo mengineyo ya Tanzania. Ni mikoa miwili tu ndiyo bado sijafika: Mtwara na Lindi.
Japo nimeona vilima na miinuko maeneo mbalimbali ya Tanzania, sidhani kama kama kuna inayofikia ya Njombe.
Kwa barabara zenye kona nyingi, miinuko na miteremko mikali, huenda Iringa na Njombe inaongoza.
Kwa mkoa wenye vilima na miinuko mingi sana, naipa Njombe nafasi ya kwanza.
Kisayansi, hali hiyo imesabishwa na nini?
Nimefika Chunya mkoani Mbeya.
Nimeshafika Iringa.
Zanzibar napafahamu.
Nimefika na maeneo mengineyo ya Tanzania. Ni mikoa miwili tu ndiyo bado sijafika: Mtwara na Lindi.
Japo nimeona vilima na miinuko maeneo mbalimbali ya Tanzania, sidhani kama kama kuna inayofikia ya Njombe.
Kwa barabara zenye kona nyingi, miinuko na miteremko mikali, huenda Iringa na Njombe inaongoza.
Kwa mkoa wenye vilima na miinuko mingi sana, naipa Njombe nafasi ya kwanza.
Kisayansi, hali hiyo imesabishwa na nini?