Kwanini mimi?

Kwanini mimi?

keen girl

Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
16
Reaction score
0
habarini zenu wakuu, ninaomba mnisaidie mimi ninarafiki angu tunaesaidiana kwenye shida na raha hawezinificha ki2 wala mimi cwezmficha ki2, kuna cku moja mme wake alinitumia txt ya kunitongoza mm nikamuonesha mdg wng ile txt nikasema huyu kachanganyikiwa au mm nikamjibu anikome tena anitolee mabaraa tangu hapo hajanitafuta tena, cku moja kagombana na mke wake, mke wake akanifuata nyumbani na kunieleza eti mme wake anadai nmetembea nae na alinipa ujauzitona pesa ya kutoa kitu ambacho co kwel mm nikamwambia cjawah kutembea na mme wake na wala hajawahi nipatia pesa yyte nkamwambia bac 2mfuate mme wako aseme mbele yangu akakataa akidai mme wake n mkali bac cku zikaenda jana hyo best yngu kaja kwa mama yang nakumweleza kuwa eti mm natembea na mme wake, mara ananipatia pesa mm badala yake nakati cjawah kula hata mia ya mme wake eti anadai anaambiwa na watu eti natoka na mmewe mm nkamwambia bac amwite hyo m2 anithibitishie kama nkwel au la hatak kumtaja huyo m2, yani hapa cna hamu na best yng wa mmewe
 
Kama vipi toka nae kweli tu si ndio anavyotaka???.maana kila ukijitetea hakuelewi.
 
Hahaaa huyo mume mjanja sana na balaa sana
lengo ni kuhakikisha mkewe anakutuhumu hadi ukasirike
ufikie sehemu useme bora nituhumiwe kwa ya kweli utembee nae..
ni mtego tu wa kusingiziwa umeiba ili uibe kwa hasira.....

vunja urafiki tu na huyo rafiki yako angalau for now
 
Aliyekwambia mume wa rafiki yako akikutaka unamwambia best yako nani?Hilo ndo kosa.Hata mie ningewachonganisha tu,KUA.
 
Hahaaa huyo mume mjanja sana na balaa sana
lengo ni kuhakikisha mkewe anakutuhumu hadi ukasirike
ufikie sehemu useme bora nituhumiwe kwa ya kweli utembee nae..
ni mtego tu wa kusingiziwa umeiba ili uibe kwa hasira.....

vunja urafiki tu na huyo rafiki yako angalau for now

Ngoja wanaume na waitwe wanaume...

Ila mkuu, hawa watoto hawawezi kuandika vizuri ili tusipate shida kusoma? Macho yenyewe yalishajifia!
 
Hahaaa huyo mume mjanja sana na balaa sana
lengo ni kuhakikisha mkewe anakutuhumu hadi ukasirike
ufikie sehemu useme bora nituhumiwe kwa ya kweli utembee nae..
ni mtego tu wa kusingiziwa umeiba ili uibe kwa hasira.....

vunja urafiki tu na huyo rafiki yako angalau for now

asantee mkuu hata ivo nilimwambia ctaki ushoga nae tena
 
Aliyekwambia mume wa rafiki yako akikutaka unamwambia best yako nani?Hilo ndo kosa.Hata mie ningewachonganisha tu,KUA.

mm ckuwahi kumwambia best na wala cjawahi kumwoneshe txt ya mumewe, mumewe ndo kamwambie mkewe eti mimi natembea nae nakat alintongoza nkamkatalia
 
Ushoga wa kijinga achana nae tafta rafiki mwingine
 
Hiyo ni janja ya mume wa tafiki wako. Hapo anajaribu kucheza kama Pele, ili ahakikishe anakupata kwa njia ya wewe kujinasa kwenye ulimbo.
Kama nikweli hautoki nae na unataka kuishi maisha poa na yenye amani.
1- Anza kwa kumtosa huyo unae muita rafiki.
2- Vunja chochote kinachoweza kikakuweka karibu na mume wa rafiki wako.
3- Usizungumzie habari zao kabisa na chochote kinacho husiana na wao, hata kama unasingiziwa au kuwekwa kwenye mazingira ya kuzungumzia issue hiyo.
4- Jiweke bize na mambo mengine yanayo kuhusu wewe pasipo kuku kutanisha na huyo rafiki wako.

Ivo
 
Hiyo ni janja ya mume wa tafiki wako. Hapo anajaribu kucheza kama Pele, ili ahakikishe anakupata kwa njia ya wewe kujinasa kwenye ulimbo.
Kama nikweli hautoki nae na unataka kuishi maisha poa na yenye amani.
1- Anza kwa kumtosa huyo unae muita rafiki.
2- Vunja chochote kinachoweza kikakuweka karibu na mume wa rafiki wako.
3- Usizungumzie habari zao kabisa na chochote kinacho husiana na wao, hata kama unasingiziwa au kuwekwa kwenye mazingira ya kuzungumzia issue hiyo.
4- Jiweke bize na mambo mengine yanayo kuhusu wewe pasipo kuku kutanisha na huyo rafiki wako.

Ivo

asante sana mkuu kwa ushauri wako naufanyia kazi
 
Ila mkuu, hawa watoto hawawezi kuandika vizuri ili tusipate shida kusoma? Macho yenyewe yalishajifia!

Kumbe mzee na wewe huwa unasumbuka kuelewa ukiwasoma eeh?

Mimi siku hizi huwa nawaruka tu.
 
habarini zenu wakuu, ninaomba mnisaidie mimi ninarafiki angu tunaesaidiana kwenye shida na raha hawezinificha ki2 wala mimi cwezmficha ki2, kuna cku moja mme wake alinitumia txt ya kunitongoza mm nikamuonesha mdg wng ile txt nikasema huyu kachanganyikiwa au mm nikamjibu anikome tena anitolee mabaraa tangu hapo hajanitafuta tena, cku moja kagombana na mke wake, mke wake akanifuata nyumbani na kunieleza eti mme wake anadai nmetembea nae na alinipa ujauzitona pesa ya kutoa kitu ambacho co kwel mm nikamwambia cjawah kutembea na mme wake na wala hajawahi nipatia pesa yyte nkamwambia bac 2mfuate mme wako aseme mbele yangu akakataa akidai mme wake n mkali bac cku zikaenda jana hyo best yngu kaja kwa mama yang nakumweleza kuwa eti mm natembea na mme wake, mara ananipatia pesa mm badala yake nakati cjawah kula hata mia ya mme wake eti anadai anaambiwa na watu eti natoka na mmewe mm nkamwambia bac amwite hyo m2 anithibitishie kama nkwel au la hatak kumtaja huyo m2, yani hapa cna hamu na best yng wa mmewe

Nyie ndo wanawake ukitongozwa unatangaza kwa kila shoga yako alafu unatangaza tu Uliowakatali Uliowakubali hata usemi.
 
Kumbe mzee na wewe huwa unasumbuka kuelewa ukiwasoma eeh?

Mimi siku hizi huwa nawaruka tu.


Ukiwaruka unakosa hizo hadithi zao ambazo wakati mwingine zinatekenya tekenya...

Vipi mrejesho wa katoto ka kikorea? Nasuburi sana ila natamani iwe kwa lugha ya Kambarage!!
 
Duuuhh, huenda intelijensia ya Shost yako ni "bure"

Binafsi hua nachukia kuona mtu ananiharibia wasifu wangu. Tafuta Muda uende kwa Shost yako ukiwa na uhakika mumewe yupo. Lengo ni kutumbua "jibu"

Wakati mwingine ukorofi hulipa.
 
habarini zenu wakuu, ninaomba mnisaidie mimi ninarafiki angu tunaesaidiana kwenye shida na raha hawezinificha ki2 wala mimi cwezmficha ki2, kuna cku moja mme wake alinitumia txt ya kunitongoza mm nikamuonesha mdg wng ile txt nikasema huyu kachanganyikiwa au mm nikamjibu anikome tena anitolee mabaraa tangu hapo hajanitafuta tena, cku moja kagombana na mke wake, mke wake akanifuata nyumbani na kunieleza eti mme wake anadai nmetembea nae na alinipa ujauzitona pesa ya kutoa kitu ambacho co kwel mm nikamwambia cjawah kutembea na mme wake na wala hajawahi nipatia pesa yyte nkamwambia bac 2mfuate mme wako aseme mbele yangu akakataa akidai mme wake n mkali bac cku zikaenda jana hyo best yngu kaja kwa mama yang nakumweleza kuwa eti mm natembea na mme wake, mara ananipatia pesa mm badala yake nakati cjawah kula hata mia ya mme wake eti anadai anaambiwa na watu eti natoka na mmewe mm nkamwambia bac amwite hyo m2 anithibitishie kama nkwel au la hatak kumtaja huyo m2, yani hapa cna hamu na best yng wa mmewe

Hadithi za kitoto unamletea nani huku?
 
hahahhahahah hv bado kiswahili kina penalty form four eeeee??? tosa shoga huyo...hana maana mume aliyecheat anahadithia kijinga jinga hvo kwamba alikua na flani na kamtoa mimba....wkt hata angemkamata anacheat na bado angeruka futi mia...shoga hajielewi hyo
 
ushoga uwe na mipaka mpaka mnabadilishana namba za simu si jambo jema.... ukifanya mchezo mumewe anakukula kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom