Kwanini mimi?

Kwanini mimi?

Mi ndo mana mi huwa naona kama mtu kaolewa urafiki naye uwe wa kawaida na hata urafiki na mumewe uwe ule wa salamu bas.Maswala unaanza kuzoeana na shemejio ndo huwa yanazaaa hayo.Kama mtu hujaolewa mashost zako wale wa ukwee wanapendeza wawe si watu wenye ndoa but ukiolewa penda urafiki na walioolewa na si wadada ambao hawana ndo.Mi hiyo huwa naona imekaa vizuri zaid coz mnaweza share mambo yanayofanana
 
Duuuhh, huenda intelijensia ya Shost yako ni "bure"

Binafsi hua nachukia kuona mtu ananiharibia wasifu wangu. Tafuta Muda uende kwa Shost yako ukiwa na uhakika mumewe yupo. Lengo ni kutumbua "jibu"

Wakati mwingine ukorofi hulipa.

nashukuru ndg kwa ushaur
 
hahahhahahah hv bado kiswahili kina penalty form four eeeee??? tosa shoga huyo...hana maana mume aliyecheat anahadithia kijinga jinga hvo kwamba alikua na flani na kamtoa mimba....wkt hata angemkamata anacheat na bado angeruka futi mia...shoga hajielewi hyo

nashukuru mkuu kwa ushauri
 
ushoga uwe na mipaka mpaka mnabadilishana namba za simu si jambo jema.... ukifanya mchezo mumewe anakukula kweli

mkewe ndo alkuwa hana cmu na alkuwa ka anashida na mm anatumia cmu ya mumewe kunitafuta
 
Mi ndo mana mi huwa naona kama mtu kaolewa urafiki naye uwe wa kawaida na hata urafiki na mumewe uwe ule wa salamu bas.Maswala unaanza kuzoeana na shemejio ndo huwa yanazaaa hayo.Kama mtu hujaolewa mashost zako wale wa ukwee wanapendeza wawe si watu wenye ndoa but ukiolewa penda urafiki na walioolewa na si wadada ambao hawana ndo.Mi hiyo huwa naona imekaa vizuri zaid coz mnaweza share mambo yanayofanana

nikwel ndg yng
 
Ngoja wanaume na waitwe wanaume...

Ila mkuu, hawa watoto hawawezi kuandika vizuri ili tusipate shida kusoma? Macho yenyewe yalishajifia!
babu Napata shida sana kuelewa nahisi mtoa mada anaficha jambo halafu ukumbuke na majirani wanasema anatoka na mmewe wa rafikie kweli ujue lisemwalo lipo babu na kama halipo basi laja lipo njiani hivi.
 
Watu wazima wakitongozana huwa hawatangaziani,wewe mngemalizana na mtu mzima mwenzio hayo yote yasingekukuta,kwani ungemuonjesha siku moja ungpungukiwa na nini kama sio uchoyo huo, dawa ya ubaya ni aibu ona sasa unaumbuka mpaka ujisafishe hapo sio leo wala kesho

habarini zenu wakuu, ninaomba mnisaidie mimi ninarafiki angu tunaesaidiana kwenye shida na raha hawezinificha ki2 wala mimi cwezmficha ki2, kuna cku moja mme wake alinitumia txt ya kunitongoza mm nikamuonesha mdg wng ile txt nikasema huyu kachanganyikiwa au mm nikamjibu anikome tena anitolee mabaraa tangu hapo hajanitafuta tena, cku moja kagombana na mke wake, mke wake akanifuata nyumbani na kunieleza eti mme wake anadai nmetembea nae na alinipa ujauzitona pesa ya kutoa kitu ambacho co kwel mm nikamwambia cjawah kutembea na mme wake na wala hajawahi nipatia pesa yyte nkamwambia bac 2mfuate mme wako aseme mbele yangu akakataa akidai mme wake n mkali bac cku zikaenda jana hyo best yngu kaja kwa mama yang nakumweleza kuwa eti mm natembea na mme wake, mara ananipatia pesa mm badala yake nakati cjawah kula hata mia ya mme wake eti anadai anaambiwa na watu eti natoka na mmewe mm nkamwambia bac amwite hyo m2 anithibitishie kama nkwel au la hatak kumtaja huyo m2, yani hapa cna hamu na best yng wa mmewe
 
babu Napata shida sana kuelewa nahisi mtoa mada anaficha jambo halafu ukumbuke na majirani wanasema anatoka na mmewe wa rafikie kweli ujue lisemwalo lipo babu na kama halipo basi laja lipo njiani hivi.

Kesi za ngono ni ngumu sana. Lolote linawezekana.

ila mdada mzima, unawezaje kumweleza shost yako kwamba mume wake anakutaka?
 
Kesi za ngono ni ngumu sana. Lolote linawezekana.

ila mdada mzima, unawezaje kumweleza shost yako kwamba mume wake anakutaka?


Yaani me ningekufa nayo rohoni maana kwanza ningeanzaje ananipa maswal sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom