habarini zenu wakuu, ninaomba mnisaidie mimi ninarafiki angu tunaesaidiana kwenye shida na raha hawezinificha ki2 wala mimi cwezmficha ki2, kuna cku moja mme wake alinitumia txt ya kunitongoza mm nikamuonesha mdg wng ile txt nikasema huyu kachanganyikiwa au mm nikamjibu anikome tena anitolee mabaraa tangu hapo hajanitafuta tena, cku moja kagombana na mke wake, mke wake akanifuata nyumbani na kunieleza eti mme wake anadai nmetembea nae na alinipa ujauzitona pesa ya kutoa kitu ambacho co kwel mm nikamwambia cjawah kutembea na mme wake na wala hajawahi nipatia pesa yyte nkamwambia bac 2mfuate mme wako aseme mbele yangu akakataa akidai mme wake n mkali bac cku zikaenda jana hyo best yngu kaja kwa mama yang nakumweleza kuwa eti mm natembea na mme wake, mara ananipatia pesa mm badala yake nakati cjawah kula hata mia ya mme wake eti anadai anaambiwa na watu eti natoka na mmewe mm nkamwambia bac amwite hyo m2 anithibitishie kama nkwel au la hatak kumtaja huyo m2, yani hapa cna hamu na best yng wa mmewe