Kwanini michepuko ni watamu sana?

Papaa Gx

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
11,508
Reaction score
18,668
Habari zenu wadau wa JF,

Kuna hili swali huwa najiuliza lakini sipati jibu huenda humu nikapata jibu.

Hawa michepuko ni balaa unapokuwa nae hasa 6 kwa 6 nakwambia wana mambo adimu sana kwenye suala la mahaba. Kiuno kinazungushwa balaa.
 
Sijui, wakuje huku wajuvi watuambie kwanini mchepuko wako uko hivyo mkuu.
 
Na ukimwi wao nao huwa mtamu kwelikweli..
 
Hata kwa mkeo jaribu kubadilisha mazingira
utakuta ni mtamu vile vile,
Na hiyo style moja tu ya kifo
cha mende january-disemba
lazima nyumbani upaone jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…