Hilo halina ubishi maana wanafiki tumeshawaona
nimekuwa najiuliza mara kwa mara kwa nini huyu kiongozi shupavu na mwenye misimamo imara hapewi digrii ya heshima kama mtu aliyeleta mchango mkubwa wa mapinduzi ya kisiasa hapa nchi?inaama hakuna chuo hata kimoja kilichoweza kutambua mchango wa huyu deep thinker more than many profs are? even though i'm not a prof i want to declare my interest that hon Freeman Mbowe i honor you a doctarate for change and from now you are going to be named as Dr Freeman Mbowe.karibu nawe umtunuku mh Mbowe
Sasa mimi naamini UKAWA umekuwa imara sasa.
Dah,acha utan mkuu,dj huyu huyu mchumia tumbo apewe phd ya heshima?😂😂😂 haiwez tokea,labda phd ya uropokaji
To be honest the guy is ver brilliant,
ni kweli mkuu,jamaa infact is a good leader in political arena
mbowe hajipendejezi kwa watawala hawawezi kumpa
Dah,acha utan mkuu,dj huyu huyu mchumia tumbo apewe phd ya heshima????😂😂😂 haiwez tokea,labda phd ya uropokaji
Kweli majina huwa yanasadifu yaliyomo........ Muke ya Mtu ukiwa Umeuchanuaaaaaaa 😀