Kwanini Mbowe hatunukiwi PhD ya heshima?

Kwanini Mbowe hatunukiwi PhD ya heshima?

Pomoja na kwamba ukada unaathiri thinking capacity ya watu but lazima tukubali kua mbowe ni jemedali wa siasa za upinzani nchini.Tena anaongoza chama chenye watu wanaojua kufikiri(great thinkers).Msiwe kama mashetani jaribu kuapreciate smtmes.Ni Zitto na ccm team wanaoweza kubeza uwezo wa mbowe.
 
ni ukweli usiopingika mh Mbowe alitakiwa awe ametunukiwa phd ya heshima kwa jitihada zake.nadhani phd yoyote yule anaweza pewa ila utukufu kutoka kwa mungu watapata wachache akiwemo mbowe.
 
Pomoja na kwamba ukada unaathiri thinking capacity ya watu but lazima tukubali kua mbowe ni jemedali wa siasa za upinzani nchini.Tena anaongoza chama chenye watu wanaojua kufikiri(great thinkers).Msiwe kama mashetani jaribu kuapreciate smtmes.Ni Zitto na ccm team wanaoweza kubeza uwezo wa mbowe.

ni kweli mkuu,CDM inaongozwa na great thinkers na ni ngumu sana kuwaongoza waliolemika na elimu zao,kiupekee ninaappriciate kwa kazi anayoifanya
 
..."aliyepewa kipaji na rabuka uwasha taa kwa maji na utambi ukawaka"...Mbowe anakipaji cha siasa...
 
Back
Top Bottom