kidume chenu
Senior Member
- Jul 19, 2015
- 103
- 14
Mbowe jembe
hivi phd wanapewa na watu vilaza walio score ZERO(0) form6???????? kweli bongo nyosso. hivi unajua maana ya doctorate???? ukute wewe mwenyewe ni form4 failures ndo maana unampigia chapuo,
Atapewa heshima ya kuishusha chadema kuwa moja ya vyama vikuu vya upinzani nchini kwa kupewa bilioni kumi
Unamkosea adabu Mkapa.Mbowe anapoongea hatakama nilikuwa nafanya nn naacha nimsikilize kwanza kwan ongea yake duh aijapishana sana na mkapa
Form four failure mpaka PHD?? Sijawahi kuona
Unamkosea adabu Mkapa.
Ya nini? Kwa ajili Ya kukiuza chama kwa mlafi w madaraka????
Mbowe anapoongea hatakama nilikuwa nafanya nn naacha nimsikilize kwanza kwan ongea yake duh aijapishana sana na mkapa
Hakika umenena mwanzilishi wa hii mada ,he is very special on political area,aitwa dr Freeman mbowe