Kwanini Mbowe hatunukiwi PhD ya heshima?

Kwanini Mbowe hatunukiwi PhD ya heshima?

Subiri muda, zitammiminikia mpaka atazichoka,

Huyu kwa sasa ndiyo game changer wa siasa za nchi hii.

Very intelligent politician with big vision.
 
Subiri muda, zitammiminikia mpaka atazichoka,

Huyu kwa sasa ndiyo game changer wa siasa za nchi hii.

Very intelligent politician with big vision.

ni kwel mkuu he is a politician with political vision but nahisi kama kumtunuku kumechelewa sana
 
lowassa mwenyewe alimwambia wewe ni jembe sikua nakujua kama unaweza mambo makubwa hivi
 
Magufuli mwenyewe anajua..
alimsifu kinyama... Mbowe wewe ni Jembe!!
 
kwanza arisiti aondoe zero kisha alitoipata anatutia aibu basi tu.
 
daima elimu haendagi kwa mazuzu kama mbowe,huoni classmet wake nchemba anavyopeta?muacheni atese na pesa za urithi. Kama n phd labda apewe ya makengeza alonayo ksha agawane na wafuasi wake mazuzu wa cdm.
 
daima elimu haendagi kwa mazuzu kama mbowe,huoni classmet wake nchemba anavyopeta?muacheni atese na pesa za urithi. Kama n phd labda apewe ya makengeza alonayo ksha agawane na wafuasi wake mazuzu wa cdm.
Ha, ha, ha. Ningekujua ningekupa PHD ya kuongea kitu muafaka
 
Form four failure mpaka PHD?? Sijawahi kuona
Wakimpa mi narudisha ya kwangu. Nimehenyeka miaka 6 halafu form 4 failure aje apewe bure kisa hustler mtoto wa mjini bingwa wa kupiga madili na kutoka povu majukwaani aisee sikubali!
 
Kuna msemo fulani kuwa unaweza kwenda shule lakini usielimike,sasa nikiutafakari natambua dhahiri shahiri kuwa u-profesa wa Lipumba unamsaidia yeye tu na wala hana akili ya kung'amua fursa muhimu na wala kusoma alama za nyakati.Labda pengine ndiyo hata akawa msomi lakini maskini asiyeweza hata kuwa na familia au banda la kufuga kuku.

Kwa upande mwingine,ukimsikiliza na kumtazama Mbowe,unatambua kuwa the guy is smart hata kama ana vyeti vichache vya kielimu kuliko Lipumba(sasa si ndo kama akina Bill Gates siyo?) - vyeti vichache vya shule lakini akili nyingi kichwani,ndiyo maana ameweza kuwa na familia madhubuti na uchumi wa familia unaoeleweka

Wakati mwingi tufikiri hata na majina tuwaitayo watoto tunaowazaa - sasa Li-pumba maana yake si pumba nyingi kichwani ama!
 
Na ndiyo sababu Mbowe ameweza kuongoza chama madhubuti cha siasa kilichoifuta nguvu ya CUF huku bara;bila shaka akina Maalim Seif wanafarijika sasa kuona Lipumba limepukutishwa na upepo wa mabadiliko
 
Angalia mapenzi yako kwa Mbowe yasizidi kipimo. This is getting personal. Please be careful hasa ukizingatia kuwa we ni mwanaume!
 
Akili yako ndogo hapo ndiyo imemaliza uwezo wake wa kufikiri.Ulishauriana na akili yako mpaka mwisho ukaona ukitupia huu ujinga utakuwa umeandika kitu cha msingi sana humu JF
 
huwezi kuongelea siasa za tanzania bila
kumtaja mbowe...simply the best
 
Akili yako ndogo hapo ndiyo imemaliza uwezo wake wa kufikiri.Ulishauriana na akili yako mpaka mwisho ukaona ukitupia huu ujinga utakuwa umeandika kitu cha msingi sana humu JF
as long wewe ni jinga tena at profond level lazima utafakar kijinga ukiamin wote wajinga kama wew.mijitu mingne bhana!!!bado hujatambua mchango wa mbowe siasa za upinzani tz?otherwise uniambie wew ni robot minded person.
 
Back
Top Bottom