Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
- Thread starter
-
- #21
Mkuu mie naona abiria wengi tu .esp mwanza to darMkuu kwenda Mwanza unapita mikoa mingi na kupata abiria wa moja kwa moja inakuwa mtihani.
Unatoka Dar unajikuta una abiria wa Dodoma,Singida,Tabora na Shinyanga usiku usiweke tegemeo kubwa la kupakia abiria njiani.
Huo mwezi mmoja unaosema mtu atake risk, mfano uweke Hiace/Coaster kwa route hiyo yenye 1150km huyo mtu anatakiwa aweke mafuta,service za oil na transmission fluid, tyre na kulipa dereva.
Safari hizo zina faida ila jua gari yako inakuwa kwenye risk kubwa.
Ili biashara iende vizuri inabidi utangaze na uwapange vizuri wapiga debe pale Rombo,Mbezi Mwisho,Chalinze na Msamvu stendi ya Dumila.
Mkuu mie naona abiria wengi tu .esp mwanza to dar! Labda wenye vyombo vya usafiri watuelezee hiiMkuu kwenda Mwanza unapita mikoa mingi na kupata abiria wa moja kwa moja inakuwa mtihani.
Unatoka Dar unajikuta una abiria wa Dodoma,Singida,Tabora na Shinyanga usiku usiweke tegemeo kubwa la kupakia abiria njiani.
Huo mwezi mmoja unaosema mtu atake risk, mfano uweke Hiace/Coaster kwa route hiyo yenye 1150km huyo mtu anatakiwa aweke mafuta,service za oil na transmission fluid, tyre na kulipa dereva.
Safari hizo zina faida ila jua gari yako inakuwa kwenye risk kubwa.
Ili biashara iende vizuri inabidi utangaze na uwapange vizuri wapiga debe pale Rombo,Mbezi Mwisho,Chalinze na Msamvu stendi ya Dumila.
Mkuu abiria inabidi iwe ni flow ya kila siku,mfano mtu akaweka Coaster inabidi awe na uhakika wa kupata abiria walau 26 mpaka anafika Morogoro. Kule gari za Mbeya kuna muda wafanyabiashara huwa wanaweka booking mpaka wengine wanakosa siti.Mkuu
Mkuu mie naona abiria wengi tu .esp mwanza to dar! Labda wenye vyombo vya usafiri watuelezee hii
Nikuombee nakujua?mi najiombea mwenyewe na uzao wangu tu.Sawa mkuu...niombee
Nikuombee nakujua?mi najiombea mwenyewe na uzao wangu tu.
Isipojaa ni hasara kubwa,,hata bei labda iwe 50 au 60 elfuDha ila coaster ya Mwanza Dar wazo zuri ila mmiliki ataona bara iende igombe
Hakuna kitu ninachoogopa kama kusafiri usiku hasa na coaster tena km zaidi ya 1000!!!
Ngoja niendelee kuwaombea mnaosafiri mazingira hayo mida hiyo!
Duh hongera ila kwangu naona usiku ni risk kiasi!Kwanini?...mie naona safari za usk ndo nahimili...! Mchana inachosha mno! Hapa naitafuta dom!
Unaongelea barabara gn nyembamba???Kila jambo huenda kwa
1. uthubutu
2. Take risk
Watakuja wasafiri kwa wingi kadri muda unavosonga.
Biashara yawezakuwa ngumu mwezi mmoja tu wa kwanza na baada ya hapo watu wakaadapt postively.
Unajikabidhi tu kwa Mungu mengine atatenda!Duh hongera ila kwangu naona usiku ni risk kiasi!
Hapa umemaliza kila kitu. Utafika salama Dar es salaam🙏🙏Unajikabidhi tu kwa Mungu mengine atatenda!
Na iwe hivyoHapa umemaliza kila kitu. Utafika salama Dar es salaam🙏🙏
.inasaidia sana unafanya mishe zote ..! Hata ukisema utoke mipakani huko sijui sirari sijui tunduma unafika asbh safi kbs!Mimi mwenyewe nikiwa Mbeya napenda nifike Uyole saa kumi jioni ili nipande hakuna kulala ili nifike Dar asubuhi
Kwa kuanza na Coaster ni hasara, bora Hiace na ziwe hizi new model Hiace Quantum. Ukiweka siti 15 na nauli ikawa 50,000 kidogo unaweza ukahimili.Isipojaa ni hasara kubwa,,hata bei labda iwe 50 au 60 elfu
Ushafika?.inasaidia sana unafanya mishe zote ..! Hata ukisema utoke mipakani huko sijui sirari sijui tunduma unafika asbh safi kbs!